Tag: majani chai
Wakurugenzi wapya wa KTDA hawajaanza kazi
Na VITALIS KIMUTAI WAKURUGENZI wapya wa Shirika la Ustawi wa Majanichai (KTDA) katika viwanda vilivyo kusini mwa Bonde la Ufa,...
Sheria mpya ya majani chai iidhinishwe haraka – Wakulima
Na CHARLES WASONGA WAKULIMA wa majani chai wamepata zawadi ya Krismasi baada ya maseneta kupitisha mswada utakaoleta mageuzi...
Sekta ya chai kupigwa jekiseneti ikipitisha mswada
Na CHARLES WASONGA BUNGE la seneti Jumatatu litafanya kikao maalum kujadili Mswada mpya wa sekta ya Chai ambao unasheheni mapendekezo...
Mswada wa kuboresha kilimo cha majanichai washabikiwa na wengi
Na LAWRENCE ONGARO MSWADA wa kuboresha zao la majani chai ulipongezwa na wengi huku mbunge wa Thika Bw Patrick 'Jungle" Wainaina akisema...
- by adminleo
- March 30th, 2020
Uvumi majani chai yanaponya corona wasisimua Pwani
Na MISHI GONGO WAKAZI wa maeneo mbalimbali ya Pwani jana waliamkia kunywa chai bila maziwa na sukari kabla ya jua kuchomoza, kwa imani...
- by adminleo
- February 25th, 2020
Mswada wapendekeza halmashauri mpya kusimamia sekta ya majani chai
Na CHARLES WASONGA SEKTA ya majani chai nchini itaongozwa na halmashauri mpya ambayo itatekeleza mageuzi yanayolenga kuwezesha wakulima...
- by adminleo
- October 2nd, 2019
Wabunge watisha kutimua Munya na Kiunjuri kuhusu bonasi
Na CHARLES WASONGA WABUNGE 21 kutoka maeneo ya Mlima Kenya na Rift Valley wametisha kuwasilisha hoja ya kuwaondoa afisini mawaziri...
- by adminleo
- September 30th, 2019
Wakulima wang’oa michai kwa sababu ya bonasi duni
NA VITALIS KIMUTAI WAKULIMA wa majani chai katika Kaunti ya Bomet wameanza kung’oa mimea hiyo kutokana na hasara waliyopata kutoka kwa...
- by adminleo
- June 10th, 2019
Gavana anyakwa kwa kung’oa majani chai
TOM MATOKE na RUSHDIE OUDIA GAVANA wa Nandi Stephen Sang', Jumatatu alibebwa hobelahobela na kusukumwa kwenye gari la polisi kutokana na...
- by adminleo
- March 26th, 2019
Kampuni za majani chai kuanza kutozwa ada mpya
TOM MATOKE na BARNABAS BII KAMPUNI za kimataifa za majani chai nchini zitahitajika kulipa karibu Sh10,000 kwa kila ekari ya ardhi kila...
- by adminleo
- January 7th, 2019
Njama ya kuuza kampuni za majani chai kisiri yaanikwa
BARNABAS BII na TOM MATOKE VIONGOZI katika maeneo yanayotegemea kilimo cha majani chai Rift Valley, wamedai kuna njama ya watu fulani...
- by adminleo
- December 14th, 2018
Unilever Tea Kenya yasisitiza kuweka ua wa stima kuzima wezi
Na ANITA CHEPKOECH KAMPUNI ya Unilever Tea Kenya imetetea uamuzi wake wa kuweka ua wa kulinda mashamba yake pana ya majani chai eneo la...