Tag: maji
- by adminleo
- February 2nd, 2020
Wakazi walilia Gavana Kingi awape maji
Na CHARLES LWANGA WAKAZI wa Malindi na Watamu, Kaunti ya Kilifi wamelalamikia uhaba wa maji unaokumba kaunti hiyo ya kitalii na kumtaka...
- by adminleo
- January 29th, 2020
Kiu kuzidi Pwani mradi wa Mzima ukikwama
Na LUCY MKANYIKA WAKAZI wa Pwani watalazimika kusubiri kwa muda mrefu kutekelezwa kwa mradi wa bomba la pili la Mzima kutokana na uhaba...
- by adminleo
- January 22nd, 2020
Wakazi wa Mokowe katika kaunti ya Lamu wakabiliwa na uhaba mkubwa wa maji
Na KALUME KAZUNGU ZAIDI ya wakazi 3,000 wa kijiji cha Mokowe na maeneo jirani, Kaunti ya Lamu wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa maji...
- by adminleo
- January 9th, 2020
Wakazi waombwa kuhifadhi maji na chakula kwa matayarisho ya msimu wa kiangazi
Na MISHI GONGO MAAFISA wa asasi muhimu wanawataka wakazi wa maeneo ya Pwani na kote nchini kuhifadhi chakula cha kutosha kuepuka baa la...
- by adminleo
- December 28th, 2019
Kemikali ya pombe yanaswa kwenye lori la maji
Na CHARLES WASONGA MAAFISA wa Mamlaka ya Ukusanyaji Ushuru Nchini (KRA) wakishirikiana na maafisa wa Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI)...
- by adminleo
- December 17th, 2019
Wakazi Nairobi kuzidi kukosa maji
Na CHARLES WASONGA WAKAZI wa Nairobi wataendelea kukabiliwa na uhaba wa maji bidhaa hiyo ikisambazwa kwa vipimo hata ingawa mabwawa ya...
- by adminleo
- December 9th, 2019
Wakazi wa Pwani waliojenga katika mikondo ya maji kuhama
Na MISHI GONGO MSHIRIKISHI wa Kanda ya Pwani Bw John Elungata amewaonya wakazi wanaoishi karibu na mikondo ya maji, na akawataka wahamie...
- by adminleo
- December 5th, 2019
Wakazi wa baadhi ya vijiji Lamu walazimika kutumia maji ya chumvi
Na KALUME KAZUNGU UHABA wa maji umewasukuma wakazi wapatao 600 wa vijiji vya Kiangwe na Mararani, Kaunti ya Lamu kutumia maji ya chumvi...
- by adminleo
- October 18th, 2019
Maji ya mafuriko kutoka Ethiopia yaitikisa Lamu
Na KALUME KAZUNGU MAMIA ya wakazi kwenye vijiji vilivyoko msitu wa Boni, Kaunti ya Lamu wameathirika na mafuriko yanayosababishwa na...
- by adminleo
- September 22nd, 2019
Makueni yaahidiwa maji safi kutoka Mzima Springs
Na PIUS MAUNDU SERIKALI inapanga kusambaza maji kutoka chemchemi ya Mzima hadi Kaunti ya Makueni, kwa mujibu wa Waziri wa Maji, Bw Simon...
- by adminleo
- September 18th, 2019
Kitengela ni mahangaiko tele ya maji
Na SAMMY WAWERU KITENGELA inapatikana katika Kaunti ya Kajiado na ni eneo linalokua kwa kasi hasa kwa sababu ya mradi wa reli ya kisasa...
- by adminleo
- September 13th, 2019
Wakazi wa Ngoliba waahidiwa kupata maji safi
Na LAWRENCE ONGARO UHABA wa maji katika eneo la Ngoliba, Thika Mashariki, katika Kaunti ya Kiambu unatarajiwa kwisha hivi...