• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 11:46 AM

Mabwanyenye wapya Newcastle nao pia wajishasha kuwania saini ya Mbappe

Na MASHIRIKA HUKU kandarasi yake akiwa PSG ya Ufaransa ikitarajiwa kukamilika mwishoni mwa msimu huu, kumeibuka tetesi kuwa nyota Kylian...

Mbappe afunga mawili na kusaidia PSG kurefusha mkia wa Dijon katika jedwali la Ligue 1

Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe alifunga mabao mawili na kusaidia waajiri wake Paris Saint-Germain (PSG) kuwacharaza Dijon wanaovuta mkia wa...

Mbappe asaidia PSG kuzamisha Lorient na kupaa hadi nafasi ya pili jedwalini

Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe alifunga bao kupitia penalti na kusaidia waajiri wake Paris Saint-Germain (PSG) kupepeta Lorient 2-0 katika...

Mbappe afikisha mabao 100 akivalia jezi za PSG

Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe alifunga bao lake la 100 akivalia jezi za Paris Saint-Germain (PSG) na kusaidia viongozi hao wa Ligi Kuu ya...

Mpango wa Real Madrid kumsajili Mbappe hautaathiriwa Zidane akiondoka – Klabu

Na MASHARIKI MAAZIMIO ya Real Madrid kumsajili chipukizi Kylian Mbappe kutoka Paris Saint-Germain (PSG) mwishoni mwa msimu huu...

Kylian Mbappe kusalia mkekani kwa wiki tatu kuuguza jeraha

Na CHRIS ADUNGO FOWADI chipukizi wa Paris Saint-Germain (PSG), Kylian Mbappe atakosa robo-fainali ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA)...

Mbappe, Sterling na Sancho waongoza kwa thamani ya wachezaji duniani

Na CHRIS ADUNGO RAHEEM Sterling, Jadon Sancho, Trent Alexander-Arnold na Marcus Rashford ni miongoni mwa wachezaji watano wenye thamani...

Wenger amtunuka sifa chipukizi Kylian Mbappe

Na CHRIS ADUNGO KOCHA wa zamani wa Arsenal, Arsene Wenger, amesema kwamba chipukizi Kylian Mbappe ndiye aliye na uwezo wa kuendeleza...

Huyu Mbappe atavunja rekodi zote za Messi na Ronaldo

Na CHRIS ADUNGO MAPEMA wiki jana, mshambuliaji nyota wa kikosi cha Paris Saint-Germain (PSG) na timu ya taifa ya Ufaransa, Kylian Mbappe...

Mbappe kumtwaa rasmi kimwana Alicia Aylies

Na CHRIS ADUNGO FOWADI matata wa Paris Saint-Germain (PSG) na timu ya taifa ya Ufaransa, Kylian Mbappe, 19, amekiri kwamba anapania...

Mbappe aomba mshindi wa Ballon d’Or awe Mfaransa

NA CECIL ODONGO MWANASOKA chipukizi wa mibabe wa soka nchini Ufaransa PSG, Kylian Mbappe anaamini kwamba mchezaji bora ulimwenguni...

Yafichuka Barcelona ilikataa huduma za Kylian Mbappe

Na GEOFFREY ANENE TETESI zinasema kwamba klabu ya Barcelona ilimpuuza kinda matata Kylian Mbappe, ambaye alitamani sana kujiunga nayo na...