Tag: mgomo
- by adminleo
- February 20th, 2019
Wauguzi katika kaunti saba nao wajiunga na wenzao wanaogoma
Na WAANDISHI WETU WAUGUZI katika kaunti zingine saba wamejiunga na mgomo wa kitaifa ambao umeingia wiki ya tatu sasa, huku kaunti kadha...
- by adminleo
- January 3rd, 2019
Mgomo wa walimu wazimwa
Na RICHARD MUNGUTI MGOMO wa walimu uliotisha kusambaratisha ufunguzi wa shule zaidi ya 20,000 kote nchini ulifutiliwa mbali Jumatano na...
- by adminleo
- December 31st, 2018
2019: Mgomo kuanza Alhamisi huku Knut ikikaza kamba
Na CHARLES WASONGA NI rasmi sasa kwamba shughuli za masomo katika shule zote za umma nchini zitatatizika kuanzia Alhamisi wiki hii shule...
- by adminleo
- December 31st, 2018
Utata shuleni muhula ukianza
Na BENSON MATHEKA SHULE zinatarajiwa kufunguliwa kuanzia Alhamisi wiki hii huku kukiwa na utata kuhusu masuala kadhaa ambayo huenda...
- by adminleo
- December 28th, 2018
2018: Mgomo wa siku 76 ulisambaratisha masomo ya wanafunzi 600,000
Na WANDERI KAMAU MWAKA huu utakuwa kama kumbukumbu kuu katika vyuo vikuu nchini, baada ya wahadhiri kushiriki katika mgomo uliodumu kwa...
- by adminleo
- December 20th, 2018
Tutasambaratisha masomo Januari ‘uhamisho kiholela’ usipokomeshwa, walimu waapa
Na WANDERI KAMAU WALIMU wametangaza mgomo mkubwa wa kitaifa kuanzia Januari 2 2019, kwa kile wametaja kutozingatiwa kwa maslahi yao na...
- by adminleo
- December 10th, 2018
Wauguzi wafutilia mbali mgomo
Na BENSON AMADALA WAUGUZI wamefutilia mbali mgomo wao uliokuwa umepangiwa kuanza usiku wa kuamkia Jumapili. Notisi ya mgomo huo...
- by adminleo
- November 12th, 2018
Tutagoma kuanzia Novemba 21 – Wauguzi
Na ALEX NJERU KATIBU Mkuu wa Chama cha Wauguzi Kenya (KNUN), tawi la Kaunti ya Tharaka-Nithi, Bw Fabian Marigu amesisitiza kwamba mgomo...
- by adminleo
- September 10th, 2018
Madaktari bondeni waruhusiwa kujifua kimasomo, watisha kugoma
MAGDALENE WANJA NA RICHARD MAOSI ZAIDI ya madaktari 30 kutoka kaunti tano za kusini mwa Bonde la Ufa wamepokea ruhusa ya kuendeleza masomo...
- by adminleo
- July 30th, 2018
Serikali ndiyo chanzo cha migomo shuleni – KUPPET
Na Gaitano Pessa KATIBU Mkuu wa Chama cha Walimu wa Vyuo Anuwai (KUPPET) ameilaumu serikali kwa kuwa kiini kikuu cha kuongezeka kwa...
- by adminleo
- April 30th, 2018
#EndLecturersStrike: Kero mitandaoni wanachuo wakimsihi Uhuru asuluhishe mgomo
Na PETER MBURU WANAFUNZI wa vyuo vikuu vya umma nchini wametumia mitandao ya kijamii kuonyesha ghadhabu zao, wakinuia kumfikishia Rais...
- by adminleo
- April 19th, 2018
Wahadhiri waapa kutumia njia zote kuendeleza mgomo wao
Na WANDERI KAMAU WAHADHIRI wa vyuo vikuu vya umma Jumatano waliapa kutumia njia mbadala kuendeleza mgomo wao baada ya maandamano...