Tag: mgomo
- by adminleo
- April 10th, 2018
Walimu wanaochochea wanafunzi kugoma waonywa
Na MUNEENI MUTHUSI SUALA la baadhi ya walimu kuchochea migomo miongoni mwa wanafunzi shuleni liliangaziwa pakubwa hapo Jumatatu katika...
- by adminleo
- April 10th, 2018
Wahadhiri: Tutagoma hadi tupewe haki yetu
Na CECIL ODONGO VIONGOZI wa Miungano ya Vyama vya Wahadhiri na Wafanyakazi wa Vyuo Vikuu nchini Jumatatu walisisitiza kwamba mgomo wao...
- by adminleo
- April 10th, 2018
Walimu watisha kugoma wakiendelea kuhamishwa
Na BARACK ODUOR WALIMU wametishia kugoma muhula ujao kama serikali haitabadilisha sera za kuhamisha walimu kutoka maeneo yao ya...
- by adminleo
- April 8th, 2018
Wahadhiri waagizwa kurejea kazini Jumatatu au wafutwe
Na OUMA WANZALA WASIMAMIZI wa vyuo vikuu nchini wametishia kuwachukulia hatua kali wahadhiri ikiwa hawatarejea kazini kufikia Jumatatu...
- by adminleo
- April 5th, 2018
Wafanyakazi wa Tuskys watisha kugoma
Na BERNARDINE MUTANU Wafanyikazi wa Tuskys wanalenga kugoma katika muda wa wiki mbili zijazo kwa kulalamika kufanyiwa hila na mwajiri...
- by adminleo
- April 2nd, 2018
SHAIRI: Serikali tunaomba, muwalipe wahadhiri
Na KULEI SEREM Wahadhiri nina swali, mtagoma hadi lini?, Ni kama hamtujali, sasa twaenda nyumbani, Kweli mbaya zetu hali, tumekosa...
- by adminleo
- February 11th, 2018
Mawakili kugoma kulalamikia mazoea ya serikali kukaidi maagizo ya mahakama
[caption id="attachment_1175" align="aligncenter" width="800"] Mwenyekiti wa Chama cha Mawakili nchini (LSK) Bw Isaac Okero. Picha/...