Tag: miraa
- by adminleo
- February 25th, 2019
Watafunaji miraa walalamikia kodi ya juu
NA KALUME KAZUNGU WAFANYABIASHARA na watumiaji wa miraa kaunti ya Lamu wamelalamikia serikali ya kaunti hiyo kwa kuwatoza kodi ya juu ya...
- by adminleo
- December 31st, 2018
Wanasiasa Meru wapinga kaunti jirani kupewa Sh1 bilioni za miraa
Na Gitonga Marete WANASIASA wa Meru wamepinga vikali pendekezo la kutaka kaunti jirani kupewa mgao wa Sh1 bilioni zilizotolewa na...
- by adminleo
- August 7th, 2018
Vioski vya muguka vyaanza kubomolewa Mombasa
Na MOHAMED AHMED SIKU moja baada ya wawakilishi wa wadi ya Mombasa kuanzisha mikakati ya kupiga marufuku uuzaji wa muguka askari wa...
- by adminleo
- August 6th, 2018
KURUNZI YA PWANI: Miraa inavyovunja ndoa baada vijana kukosa nguvu chumbani
Na WINNIE ATIENO Ndoa nyingi zimeathirika katika kaunti ya Mombasa huku vijana waliofikisha umri wa kuoa wakishindwa kufanya hivyo...
- by adminleo
- May 11th, 2018
Ajenda Nne Kuu: Kijana airai serikali imkubalie azindue kiwanda cha mvinyo wa miraa
Na FAUSTINE NGILA MARUFUKU ya Uingereza na Somaliland dhidi ya miraa kutoka Kenya iliwaacha wakulima wengi katika kaunti ya Meru katika...
- by adminleo
- May 10th, 2018
Gunia la miraa latolewa kanisani kama sadaka
Na LEAH MAKENA MUTUATI, MERU Polo wa eneo hili alishangaza waumini wa kanisa moja kwa kupeleka gunia la miraa kanisani kama sadaka ya...
- by adminleo
- May 6th, 2018
Kaunti za Meru na Embu zapigania miraa
DAVID MUCHUI na CHARLES WANYORO SERIKALI za Kaunti za Embu na Meru zinazozania Sh2.2 bilioni zilizotolewa kuwafaa wakulima wa miraa...
- by adminleo
- April 16th, 2018
Marufuku kutafuna miraa na muguka Nyandarua
Na WAIKWA MAINA WATAFUNAJI wa miraa na muguka katika Kaunti ya Nyandarua sasa watalazimika kutafuta bidhaa hizo katika kaunti jirani...