• Nairobi
  • Last Updated May 6th, 2024 8:55 PM

Watafunaji miraa walalamikia kodi ya juu

NA KALUME KAZUNGU WAFANYABIASHARA na watumiaji wa miraa kaunti ya Lamu wamelalamikia serikali ya kaunti hiyo kwa kuwatoza kodi ya juu ya...

Wanasiasa Meru wapinga kaunti jirani kupewa Sh1 bilioni za miraa

Na Gitonga Marete WANASIASA wa Meru wamepinga vikali pendekezo la kutaka kaunti jirani kupewa mgao wa Sh1 bilioni zilizotolewa na...

Vioski vya muguka vyaanza kubomolewa Mombasa

Na MOHAMED AHMED SIKU moja baada ya wawakilishi wa wadi ya Mombasa kuanzisha mikakati ya kupiga marufuku uuzaji wa muguka askari wa...

KURUNZI YA PWANI: Miraa inavyovunja ndoa baada vijana kukosa nguvu chumbani

Na WINNIE ATIENO Ndoa nyingi zimeathirika katika kaunti ya Mombasa huku vijana waliofikisha umri wa kuoa wakishindwa kufanya hivyo...

Ajenda Nne Kuu: Kijana airai serikali imkubalie azindue kiwanda cha mvinyo wa miraa

Na FAUSTINE NGILA MARUFUKU ya Uingereza na Somaliland dhidi ya miraa kutoka Kenya iliwaacha wakulima wengi katika kaunti ya Meru katika...

Gunia la miraa latolewa kanisani kama sadaka

Na LEAH MAKENA MUTUATI, MERU Polo wa eneo hili alishangaza waumini wa kanisa moja kwa kupeleka gunia la miraa kanisani kama sadaka ya...

Kaunti za Meru na Embu zapigania miraa

DAVID MUCHUI na CHARLES WANYORO SERIKALI za Kaunti za Embu na Meru zinazozania Sh2.2 bilioni zilizotolewa kuwafaa wakulima wa miraa...

Marufuku kutafuna miraa na muguka Nyandarua

Na WAIKWA MAINA WATAFUNAJI wa miraa na muguka katika Kaunti ya Nyandarua sasa watalazimika kutafuta bidhaa hizo katika kaunti jirani...