Tag: miti
- by adminleo
- April 10th, 2018
Madaktari wa mitishamba wasifu marufuku ya ukataji miti
Na TTUS OMINDE MADAKTARI wa mitishamba kutoka eneo la North Rift wamesifia marufuku ya ukataji miti katika misitu ya umma kote...
- by adminleo
- April 9th, 2018
MAKALA MAALUM: Wageukia magari ya serikali kusafirisha miti ili wasikamatwe
Na BERNADINE MUTANU TANGU kupigwa marufuku kwa ukataji wa miti na uchomaji makaa, wafamyibiashara wa bidhaa hizo wamelazimika kuja na...
- by adminleo
- April 2nd, 2018
Wakazi wa Lamu watakiwa kupanda miti maeneo wanakoishi
NA KALUME KAZUNGU SHIRIKA la Uhifadhi wa Misitu (KFS) katika Kaunti ya Lamu limehimiza wakazi kujihusisha na upanzi wa miti kwenye maeneo...
- by adminleo
- March 28th, 2018
‘Si lazima ukate miti ndipo uchome makaa’
Na PAULINE ONGAJI KATIKA enzi hizi ambapo kumekuwa na uharibifu wa mazingira kwa sababu ya ukataji miti, anatoa suluhu kwa kuunda makaa...
- by adminleo
- March 27th, 2018
Biashara haramu ya makaa inayowafaidi Al-Shabaab msituni Boni yazimwa
NA KALUME KAZUNGU MAAFISA wa usalama katika kaunti ya Lamu wamefichua kuwa biashara haramu ya makaa na upasuaji mbao unaoendelezwa kwenye...
- by adminleo
- March 7th, 2018
Hatari nchi kugeuzwa jangwa kufuatia ukataji wa miti kiholela
Na BENSON MATHEKA KENYA inakabiliwa na hatari ya kugeuka jangwa ikiwa ukataji miti kiholela, uchomaji makaa na uzoaji changarawe mitoni...
- by adminleo
- March 6th, 2018
Watu kadhaa wanaswa kuhusu ukataji wa miti
Na BARNABAS BII TAASISI ya Huduma za Misitu (KFS) Jumapili ilinasa watu kadhaa waliopatikana wakikata miti kiharamu katika Msitu wa...
- by adminleo
- February 28th, 2018
Uchomaji makaa wapigwa marufuku Narok
Na GEORGE SAYAGIE SERIKALI ya kaunti ya Narok, imepiga marufuku uchomaji wa makaa kwa muda usiojulikana kufuatia ukataji miti katika...
- by adminleo
- February 26th, 2018
TAHARIRI: Mti gani utapevuka kwa miezi mitatu?
[caption id="attachment_2135" align="aligncenter" width="800"] Naibu Rais Bw William Ruto. Ameweka marufuku ya siku 90 dhidi ya ukataji wa...
- by adminleo
- February 25th, 2018
Serikali yapiga marufuku ukataji wa miti kwa siku 90
Na VALENTINE OBARA Kwa ufupi: Amri hiyo ilitolewa na Naibu Rais William Ruto, wakati ambapo athari ya kiangazi inazidi kushuhudiwa...
- by adminleo
- February 13th, 2018
ONYANGO: Kenya itakuwa jangwa tusipolinda misitu kwa makini
[caption id="attachment_1400" align="aligncenter" width="800"] Magunia ya makaa. Huenda Kenya ikawa jangwa iwapo uakataji wa miti kiholela...