Tag: musalia mudavadi
- by T L
- May 13th, 2022
Karua, Mudavadi wapendwa zaidi kwa unaibu rais
NA LEONARD ONYANGO KIONGOZI wa Amani National Congress (ANC), Musalia Mudavadi na mwenzake wa Narc Kenya, Martha Karua ndio...
- by T L
- May 12th, 2022
ANC yafufua wito Mudavadi awe naibu wa Ruto
NA WINNIE ATIENO WANACHAMA wa Amani National Congress (ANC), wamefufua wito kumtaka Naibu Rais William Ruto, kumchagua kinara wao, Bw...
- by T L
- March 10th, 2022
Upungufu wa hela ulimsukuma Musalia kwa Ruto – Mbunge adai
NA BENSON AMADALA MBUNGE wa Sabatia Alfred Agoi, amedai kuwa Kinara wa ANC Musalia Mudavadi, aliamua kufanya kazi pamoja na Naibu Rais...
- by T L
- February 4th, 2022
Mudavadi akoroga hesabu katika UDA
MWANGI MUIRURI NA LEONARD ONYANGO HATUA ya Kiongozi wa Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi kuungana na Naibu wa Rais William...
- by T L
- January 31st, 2022
Mudavadi afichua sababu ya kugura OKA
Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa chama cha Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi amesema aliondoka kutoka muungano wa One Kenya...
- by T L
- January 30th, 2022
JUNGU KUU: Hatua ya Mudavadi inaweza kumponza
Na BENSON MATHEKA HATUA ya kiongozi wa chama cha Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi kuungana na Naibu Rais William Ruto...
- by T L
- January 11th, 2022
Mudavadi ayumba uchaguzi ukibisha
Na LEONARD ONYANGO KINARA wa Amani National Congress (ANC), Musalia Mudavadi anaendelea kuwakanganya wafuasi wake kwa kukosa msimamo...
- by T L
- December 31st, 2021
Mudavadi avuliwa wadhifa wa msemaji wa Waluhya
Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ANC Musalia Mudavadi amevuliwa wadhifa wa msemaji wa jamii ya Waluhya na mahala pake kuchukuliwa na Naibu...
- by T L
- December 2nd, 2021
Obure ahusisha Mudavadi na kashfa ya Anglo-Leasing
Na RICHARD MUNGUTI KINARA wa Chama cha Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi aliidhinisha mradi wa Anglo-Leasing uliosababisha...
Musalia na Weta watakiwa kusahau urais na kumuunga mkono Raila 2022
Na BRIAN OJAMAA WANDANI wa kinara wa ODM Raila Odinga katika Kaunti ya Bungoma sasa wanataka viongozi wa Magharibi kusitisha azma yao ya...
Wapuuza Uhuru
VITALIS KIMUTAI na BENSON MATHEKA WANASIASA wamedhihirisha kuwa kamwe hawako tayari kutii amri ya Rais Uhuru Kenyatta aliyepiga marufuku...
Mudavadi akejeli vigogo ‘kudandia’ sera zake
Na WANDERI KAMAU KIONGOZI wa chama cha ANC, Musalia Mudavadi, Alhamisi aliwafokea vikali vigogo wengine wa kisiasa wanaowania urais,...