Tag: mzee moi
- by adminleo
- February 5th, 2020
Mzee Moi kuwa rais wa pili kuandaliwa mazishi ya kitaifa
NA MARY WANGARI RAIS mstaafu Daniel Toroitich Arap Moi ndiye atakayekuwa rais wa pili kuagwa kwaheri kupitia mazishi yenye heshima...
- by adminleo
- February 5th, 2020
Watu 11 waliofaidi kutokana na utawala wa Mzee Moi
NA CHARLES WASONGA KATIKA utawala wa Rais mstaafu Daniel Moi kuna watu kadhaa ambao walifaidika pakubwa kwa kuwa wandani...
- by adminleo
- February 4th, 2020
BURIANI MOI: Kesi nyingi mahakamani zilimnyima usingizi
Na CHARLES WASONGA UTULIVU aliotarajia Mzee Daniel Arap Moi baada ya kustaafu ulivurugwa na msururu wa kesi kuhusu ardhi alizodaiwa...
- by adminleo
- February 4th, 2020
BURIANI MOI: Alikuwa gwiji wa kunoa viongozi chipukizi kisiasa
Na WANDERI KAMAU MZEE Daniel Moi aliwajenga kisiasa viongozi wanaoshikilia nyadhifa kuu serikalini kwa sasa, miongoni mwao wakiwemo Rais...
- by adminleo
- February 4th, 2020
BURIANI MOI: Alivyodumisha amani nchini huku akiwatesa wananchi
Na BENSON MATHEKA Katika utawala wake wa miaka 24, Daniel Moi alitumia filosofia yake ya Nyayo iliyokuwa na kauli mbiu ya Upendo, Umoja...
- by adminleo
- February 4th, 2020
BURIANI MOI: Maana kamili ya ‘Nyayo’
Na CHARLES WASONGA Daniel Moi alianzisha miradi mbalimbali ambayo inaakisi kumbukumbu ya utawala wake wa miaka 24. Mojawapo ya miradi...
- by adminleo
- February 4th, 2020
BURIANI MOI: Alipuuzwa kuwa wingu linalopita lakini akasalia Ikulu miaka 24
Na BENSON MATHEKA DANIEL Toroitich Arap Moi alipochukua hatamu ya uongozi kutoka kwa mzee Jomo Kenyatta 1978, baadhi ya wanasiasa kutoka...
- by adminleo
- February 4th, 2020
BURIANI MOI: Aliwakabili vikali watu waliokosoa utawala wake
Na WANDERI KAMAU RAIS Mstaafu Daniel Moi atakumbukwa kwa kuwakabili vikali wale ambao walikosoa utawala wake. Miongoni mwa...
- by adminleo
- February 4th, 2020
BURIANI MOI: Alipata upinzani mkali kuliko Ruto lakini bado akawa Rais
Na BENSON MATHEKA DANIEL Moi aliingia mamlakani 1978 baada ya kifo cha Mzee Jomo Kenyatta licha ya upinzani mkali, kuliko anaopata Naibu...
- by adminleo
- February 4th, 2020
BURIANI MOI: Kutoka mchungaji mifugo, mwalimu hadi Ikulu
Na BENSON MATHEKA DANIEL Toroitich arap Moi, aliyekuwa rais wa pili wa Kenya na kutawala kwa miaka 24, alizaliwa Septemba 2, 1924,...
- by adminleo
- February 4th, 2020
BURIANI MOI: Alitengana na mkewe 1974 wakiwa na wana 8
NA MWANDISHI WETU MZEE Daniel Toroitich Moi alitengana na mkewe Lena Moi mwaka wa 1974 wakiwa wamejaliwa watoto wanane, wavulana watano...
- by adminleo
- February 4th, 2020
BURIANI MOI: Alikuwa rais mcha Mungu na hakuwahi kunywa pombe
Na BENSON MATHEKA RAIS Mstaafu Daniel Toroitch arap Moi alidumisha mtindo wa kipekee wa maisha katika maisha yake ya kisiasa na uongozi...