Tag: mzee moi
- by adminleo
- February 9th, 2020
Malori marufuku katika barabara ya Nakuru-Eldoret Moi akizikwa
Na RICHARD MUNGUTI Malori yanayosafirisha mizigo hayataruhusiwa kwenye barabara ya Nairobi kwenda Eldoret Jumanne na Jumatano ili...
- by adminleo
- February 9th, 2020
Mazishi ya Moi yanavyozidi kusambaratisha uhusiano wa Uhuru na Ruto
Na LEONARD ONYANGO KUTENGWA kwa Naibu wa Rais William Ruto katika mipango ya mazishi ya Rais Mstaafu Daniel arap Moi kumedhihirisha ufa...
- by adminleo
- February 9th, 2020
Mbinu alizotumia Moi kuzima Mlima Kenya
Na WANDERI KAMAU MIGAWANYIKO ya kisiasa miongoni mwa wanasiasa wa eneo la Mlima Kenya, imetajwa kuwa sababu kuu iliyompa mwanya Rais...
- by adminleo
- February 7th, 2020
Sura nne za Nyayo
Na WANDERI KAMAU RAIS wa pili wa Kenya, hayati Daniel Moi ametajwa kuvaa sura nne tofauti katika kipindi cha miaka 24 aliyotawala Kenya...
- by adminleo
- February 6th, 2020
Serikali yatoa ratiba ya safari ya kumuaga Moi
NA MARY WANGARI RAIS wa pili nchini Kenya Daniel Toroitich Arap Moi, atapumzishwa katika mazishi ya kitaifa Jumatano, wiki ijayo...
- by adminleo
- February 6th, 2020
Moi alichukia ulevi, asema mjukuu wake
Na FRANCIS MUREITHI MJUKUU wa Rais mstaafu Daniel arap Moi, amefichua kuwa babu yake alichukia pombe na hakutaka walevi wajumuike naye...
- by adminleo
- February 6th, 2020
Kifo cha Moi chaibua makovu ya mauaji ya halaiki Wagalla
Na BRUHAN MAKONG MAKOVU ya mauaji ya Wagalla mnamo 1984 yameibuka upya kufuatia kuaga dunia kwa aliyekuwa rais wa Kenya wakati huo,...
- by adminleo
- February 6th, 2020
Wakazi Baringo waomboleza Mzee Moi kwa maandamano
FLORA KOECH Na WYCLIFFE KIPSANG WAKAZI wa Kaunti ya Baringo waliomboleza hayati Daniel Moi kwa maandamano na kufunga barabara ya...
- by adminleo
- February 6th, 2020
Utawala wa Moi ulivyojaa giza
Na BENSON MATHEKA WAKENYA wanapoendelea kuomboleza kifo cha aliyekuwa rais wa pili wa Kenya Daniel Toroitich Arap Moi, baadhi ya...
- by adminleo
- February 5th, 2020
Uhusiano wangu na Moi ulikuwa kama wa baba na mwana – Lee Njiru
Na STELLA CHERONO MSAIDIZI wa kibinafsi wa Rais Mstaafu Daniel arap Moi aliye pia Katibu wake wa Habari, Bw Lee Njiru huaminika kufahamu...
- by adminleo
- February 5th, 2020
Tusifunike uzuri wake Moi kwa mabaya yake – Viongozi
Na WANDERI KAMAU RAIS Mstaafu Daniel Moi alikuwa kama binadamu wa kawaida, hivyo hapaswi kulaumiwa kwa baadhi ya makosa yaliyotokea...
- by adminleo
- February 5th, 2020
Moi alivyoenzi Nakuru, eneo la makazi yake ya kifahari ya Kabarak
NA ERICK MATARA KATIKA kipindi cha utawala wake wa miaka 24, Rais Mstaafu Daniel Moi alipenda sana mji wa Nakuru ambako pia ana makazi...