Tag: ngono
- by adminleo
- December 1st, 2018
Dhuluma za kimapenzi dhidi ya wanawake zachacha Sudan Kusini
CHARLES WASONGA Na MASHIRIKA JUBA, Sudan Kusini MAMIA ya akina mama na wasichana wamekuwa wakinajisiwa na kutendewa aina zingine za...
- by adminleo
- November 30th, 2018
Apatwa na hatia ya kumdunga mpenzi visu 16 kwa kunyimwa uroda
Na RICHARD MUNGUTI MWANAUME aliyemuua mpenziwe kwa kunyimwa tendo la ndoa alipomdunga kisu mara kumi na sita katika sehemu nyeti na...
- by adminleo
- November 30th, 2018
UTAFITI: 87% ya wanawake wazungu hufurahia ngono na wanaume weusi
MASHIRIKA na PETER MBURU UTAFITI uliofanywa na chuo kikuu kimoja cha Marekani umebaini kuwa takriban asilimia 87 ya wanawake weupe kutoka...
- by adminleo
- November 28th, 2018
54%: Polisi waliongoza kwa ubakaji uchaguzi mkuu wa 2017 – KNCHR
Na PETER MBURU MAAFISA wa usalama nchini walikuwa mstari wa mbele kutekeleza unyama wa dhuluma za kingono wakati na baada ya uchaguzi mkuu...
- by adminleo
- November 16th, 2018
Mzee afurushwa basini kwa kutazama video za ngono
Na SAMUEL BAYA Mtwapa, Mombasa Mzee mmoja kutoka mtaa huu alilazimishwa kushukishwa kwenye matatu baada ya kupiga nduru akiangalia...
- by adminleo
- October 25th, 2018
RIPOTI MAALUM: Echesa taabani kuagiza picha zake za ngono ziwekwe sura ya Malala
Na CHARLES WASONGA VITA vya kisiasa baina ya Waziri wa Michezo Rashid Echesa na Seneta wa Kakamega Cleophas Malala sasa vimechukua...
- by adminleo
- September 17th, 2018
Umasikini unawasukuma mabinti kushiriki ngono wapate sodo – UNICEF
Na PAUL REDFERN IDADI kubwa ya wasichana wanaoishi katika mitaa ya mabanda kama vile Kibera jijini Nairobi wanalazimika kushiriki ngono...
- by adminleo
- September 6th, 2018
Beki ajuta kutangaza biashara ya ngono ya ‘mkewe’ bila idhini
Na Geoffrey Anene BEKI wa zamani wa West Ham United, Tomas Repka, anakodolea macho kusukumwa jela miezi sita kwa kutangaza huduma ya ngono...
- by adminleo
- September 6th, 2018
Hongo ya ngono kwa polisi yamtupa kichuna jela
Na Geoffrey Anene Mwanamitindo mmoja, Kira Mayer, amehukumiwa kifungo cha miezi 18 kwa kujaribu kukwepa kutiwa nguvuni kwa kuhonga polisi...
- by adminleo
- July 19th, 2018
Mijeledi 80 kila mmoja kwa mashoga waliofumaniwa wakila ‘uroda’
Na MASHIRIKA ACEH, INDONESIA WANAUME wawili walicharazwa viboko zaidi ya 80 baada ya kupatikana na hatia ya ushoga. Ilisemekana wawili...
- by adminleo
- June 27th, 2018
Ajabu mwanamume kumea uke kwa nyeti zake baada ya kuchepuka
Na STEPHEN ODUOR KUMETOKEA kioja katika Kaunti ya Tana River, eneo la Tana Delta baada ya mwanamume mmoja kudai kumea sehemu ya siri za...
- by adminleo
- June 22nd, 2018
SHANGAZI: Nimegawia wengi asali lakini sijawahi kuhisi utamu
Na SHANGAZI SIZARINA Shikamoo shangazi. Nina umri wa miaka 28 na nimekutana na wanaume kadhaa tangu nijue masuala ya mahaba. Ajabu ni kuwa...