Tag: paukwa
- by T L
- November 7th, 2022
PAUKWA: Bobu amtoa kijasho Harara baraza la wazee
NA ENOCK NYARIKI MBUZI wa Babu Nyakebagendi walikuwa wameshiba na kuning’iniza vitumbo vyao upande wa kulia na kushoto kama sogi...
- by T L
- October 31st, 2022
PAUKWA: Ajabu ya Tundu ‘mfu’ kuwatokea wanakijiji
NA ENOCK NYARIKI MOYO wa Bwana Farijala uling’oka alipoona upindo wa nguo ya mwanawe kwenye mshumbi uliokuwa umetengenezwa na ndovu...
- by T L
- October 24th, 2022
PAUKWA: Ndovu kabomoa nyumba, majirani wamsaka Tundu
NA ENOCK NYARIKI TUNDU alipoona maisha yake yamo hatarini, alichupa kupitia dirishani na kujichoma kwenye migomba. Bahati yake ni...
- by T L
- July 11th, 2022
PAUKWA: Bahati amtapikia mamaye nyongo
NA ENOCK NYARIKI “KWA nini kila wakati baba hapendi kutimiza ahadi yake?’’ Bahati alimuuliza mama yake baina ya kilio cha...
- by T L
- July 4th, 2022
PAUKWA: Bahati machozi tele kwa aibu ya mamaye
NA ENOCK NYARIKI MAMA yake Bahati alisimama kwenye uwanja wa shule huku amezubaa na kutunduwaa. Alitazama jinsi watoto wengine...
- by T L
- June 27th, 2022
PAUKWA: Bahati aonea soni kovu usoni pa mama
NA ENOCK NYARIKI SAA nne asubuhi, wazazi walianza kuingia shuleni kwa siku ya wazazi ambayo wanafunzi wa Tunu waliihamu sana. Baadhi...
- by T L
- April 4th, 2022
PAUKWA: Bahili akausha boda na kuipapia probox
NA ENOCK NYARIKI MATATU aliyoabiri Bwana Bahili ilitoka kwenye stani ya Kanyumba ikateleza kwenye barabara ya kuelekea...
- by T L
- March 7th, 2022
PAUKWA: Mzee Yumbayumba aokolewa na wafugaji
NA ENOCK NYARIKI WAKAZI wa Mbolei walishurutika kukesha kwenye kituo cha biashara cha Getoga. Jitihada za kumnusuru Mzee Yumbayumba...
- by T L
- February 21st, 2022
PAUKWA: Ulevi wamtosa mzee Yumbayumba majini
NA ENOCK NYARIKI MZEE Yumbayumba aliendelea kubwabwaja bwa bwa bwa kama bomba la maji taka lililopasuka huku akielekea...
- by T L
- January 24th, 2022
PAUKWA: Fantasia inavyokuza ubunifu wa watoto
Na ENOCK NYARIKI UDHAIFU mmoja unaotokana na mifumo ya elimu ni kusisitiza mno uhalisia katika uandishi hasa ule unaolenga...
- by T L
- January 10th, 2022
PAUKWA: Getore afumaniwa akichoma makaa
Na ENOCK NYARIKI ASUBUHI na mapema, Getore aliingia katika msitu wa Getacho akavitengatenga vichaka vilivyoenea chini ya miti ili kupata...
- by T L
- December 13th, 2021
PAUKWA: Biashara Haramu ya Titi (sehemu 5)
Na ENOCK NYARIKI “KWENU ni wapi?’’ afisa kwenye zamu katika kituo cha polisi alimuuliza Machugachuga. “Masosa. Kwetu ni...