Tag: pesa
- by adminleo
- October 4th, 2018
Mabwanyenye waongezeka kwa kasi nchini licha ya uchumi kuyumba
Na BERNARDINE MUTANU LICHA ya kutatizika kiuchumi kwa sababu ya ukopaji kiholela na ufisadi serikalini, Kenya imeorodheshwa miongoni mwa...
- by adminleo
- April 18th, 2018
FUNGUKA: Nachuuza mke wangu nipate hela
Na PAULINE ONGAJI Japo mwanzoni nilionekana kukerwa na tabia hii, mke wangu alinishawishi akisema kwamba ingekuwa fursa murwa ya...
- by adminleo
- April 18th, 2018
Matrilioni ya pesa sasa hutumwa kwa simu
Na BERNARDINE MUTANU Biashara kwa kutumia simu imeendelea kuimarika nchini. Kufikia Desemba 31, 2017, Sh1.1 trilioni zilitumwa au...
- by adminleo
- April 9th, 2018
TAHARIRI: Magavana waelezane ukweli kwenye kongamano
Na MHARIRI KILA mwaka, magavana hukutana kwenye kongamano la kutathmini hatua walizopiga tangu ugatuzi uanze rasmi mwaka 2013. Mwaka...
- by adminleo
- April 8th, 2018
Kutoa pesa ukitumia Paypal sasa utatozwa ada ya 1%
Na BERNARDINE MUTANU Benki ya Equity imezindua ada mpya za malipo kwa wateja wa PayPal wanaotoa fedha kwa kutumia akaunti ya benki...
- by adminleo
- April 1st, 2018
Ruto afuta ziara ya harambee katika shule ambako wazazi wanapunjwa
Na NDUNGU GACHANE NAIBU Rais William Ruto, amefutilia mbali ziara ya Shule ya Upili ya Murang’a ambapo alitarajiwa kuongoza mchango...
- by adminleo
- March 26th, 2018
Wazee wateta kunyimwa hela kwa sababu ya vidole chakavu
Na FADHILI FREDRICK BAADHI ya wazee wanaofaidika kutokana na mpango wa pesa kila mwezi kupitia mpango maalum wa serikali kutoka kaunti...
- by adminleo
- March 20th, 2018
Barclays yazindua apu kuwapa wateja mikopo
Na BERNARDINE MUTANU Benki ya Barclays imezindua matumizi ya teknolojia ya simu ambayo yatasaidia wawekezaji wadogo kupata mikopo kwa njia...