Tag: pesa
- by adminleo
- September 25th, 2019
Polisi wapoteza mamilioni ya wizi
Na BRIAN OCHARO KUNDI la maafisa wa polisi limo mashakani baada ya kukosa kuwasilisha mahakamani Sh25.9 millioni ambazo zilikuwa sehemu...
- by adminleo
- August 3rd, 2019
Wateja wa KCB M-PESA kulazimika kulipia zaidi
Na GEOFFREY ANENE WATUMIAJI wa huduma ya mkopo ya KCB MPESA watalazimika kulipia zaidi. Hii ni baada ya watoaji wa huduma hiyo...
- by adminleo
- May 27th, 2019
Pesa na simu husambaza maradhi – Utafiti
Na ELIZABETH MERAB WATAFITI wameonya kuhusu jinsi sarafu na simu za mkononi zinavyoeneza uchafu tele unaosababisha maradhi kwa...
- by adminleo
- May 25th, 2019
Mke wa Rais na wa Naibu waongezewa donge
Na WANDERI KAMAU HUKU Wakenya wakizidi kuteseka kutokana na ugumu wa maisha, afisi ya mke wa Rais Uhuru Kenyatta, Margaret Kenyatta na...
- by adminleo
- May 24th, 2019
Nitazidi kutoa pesa, sijaiba za mtu- Ruto
Na PETER MBURU NAIBU Rais William Ruto amesema kuwa ataendelea kutoa pesa katika makanisa na katika hafla za uchangishaji, akisema kuwa...
- by adminleo
- May 16th, 2019
ODM yaendelea kulalama kuhusu kupewa fedha kidogo
Na CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM kimefichua kinahitaji Sh50 milioni kuendesha shughuli za afisi za matawi yake kote nchini kila mwezi,...
- by adminleo
- May 10th, 2019
Jinsi baadhi ya Wakenya huporwa mabilioni chambo kikiwa ‘ahadi ya utajiri wa kuzalisha pesa’
Na MWANGI MUIRURI AGOSTI 17, 2018, mhudumu wa bodaboda katika Kaunti ya Murang’a, Peter Njogu, alipatana na mwalimu wake wa zamani...
- by adminleo
- April 22nd, 2019
Tutaendelea kupokea pesa za wanasiasa, Askofu aapa
Na NDUNGU GACHANE ASKOFU wa Kanisa la Kianglikana (ACK) amewashutumu vikali viongozi wa kisiasa ambao wamekuwa wakiyakashifu makanisa...
- by adminleo
- March 20th, 2019
TAHARIRI: Pesa feki ni hatari kwa uchumi wetu
NA MHARIRI TANGU mwaka huu uanze, kumekuwa na ongezeko la visa vya watu kupatikana wakiwa na pesa zinazoshukiwa kuwa bandia. Mwezi...
- by adminleo
- March 14th, 2019
Kisura ajuta panya kutafuna maelfu aliyopora mumewe
Na Ludovick Mbogholi KIMBUNGA-KASHANI, MOMBASA MREMBO aliyezoea kumpora mumewe maelfu ya pesa na kuzificha chini ya godoro alijipata...
- by adminleo
- February 28th, 2019
Wafisadi kwenye kaunti waingiwa na kiwewe EACC ikibisha
Na KENNEDY KIMANTHI HOFU imeibuka katika serikali za kaunti kufuatia hatua ya Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) kuanzisha...
- by adminleo
- January 28th, 2019
Polisi walia kunyimwa mamilioni ya huduma zao Eldoret
ZAIDI ya maafisa 600 wa polisi ambao walitoa ulinzi kwa maonyesho ya biashara ya Jumuia ya Afrika Mashariki mjini Eldoret mwishoni mwa...