Tag: pombe
- by adminleo
- May 21st, 2019
Mwanamke amuua mumewe kwa kumuuliza sababu ya kuwa mlevi
Na PETER MBURU MWANAMKE amemuua mumewe, walipozozana baada ya kuulizwa ni kwa nini alikuwa amerejea nyumbani akiwa mlevi baada ya kutoka...
- by adminleo
- April 29th, 2019
Chokoraa aliyetekwa na vileo sasa ni balozi dhidi ya unywaji pombe
Na SAMMY WAWERU PETER Muhia, ni jina ambalo alipewa mwaka wa 1990 na msamaria mwema. Akivuta mawazo yake nyuma anapohijiwa na Taifa Leo...
- by adminleo
- April 22nd, 2019
Vijana wanapeleka hela kwa kamari badala ya kulewa, KBL yalia
Na PATRICK ALUSHULA KAMPUNI za kutengeneza pombe zimeelezea wasiwasi wazo kuhusu kudorora kwa mauzo kufuatia ongezeko la idadi ya vijana...
- by adminleo
- April 22nd, 2019
EABL yatangaza kuongeza bei ya pombe
Na BERNARDINE MUTANU Kampuni ya pombe ya East African Breweries Limited (EABL) imetangaza azimio la kuongeza bei ya pombe ikiwa Hazina...
- by adminleo
- April 6th, 2019
Wachina watoa pombe kwa wenye njaa Baringo
Na FLORAH KOECH KIZAAZAA kilishuhudiwa katika kijiji kimoja kinachokumbwa na uhaba wa chakula katika eneo la Tiaty, Kaunti ya Baringo...
- by adminleo
- April 2nd, 2019
Bodi yapendekeza kuwe na baa 3,000 pekee Nairobi
Na COLLINS OMULO JIJI la Nairobi huenda likawa na baa 3,000 pekee iwapo mapendekezo ya bodi ya kudhibiti uuzaji wa mvinyo yataidhinishwa...
- by adminleo
- March 19th, 2019
Si hatia kuendesha gari ukiwa mlevi, jaji asema
Na JOSEPH WANGUI MAHAKAMA Kuu ya Nyeri iliamua Jumatatu kuwa uendeshaji gari ukiwa mlevi si hatia mradi dereva aweze kulithibiti...
- by adminleo
- March 6th, 2019
Mbunge apendekeza vituo zaidi vya kurekebisha tabia, maadili Kiambu
Na SAMMY WAWERU KILA kaunti ndogo Kiambu inapaswa kuwa na kituo cha kurekebisha tabia na maadili, amesema mbunge Mwakilishi wa Wanawake,...
- by adminleo
- February 15th, 2019
URAIBU WA POMBE: ‘Githeri Man’ angali mtumwa wa chang’aa
Na SAMMY WAWERU MARTIN Kamotho Njenga aliibua ucheshi mitandaoni na katika vyombo vya habari wakati wa uchaguzi mkuu wa Agosti 8, 2017,...
- by adminleo
- February 8th, 2019
Mmiliki wa kiwanda cha pombe haramu Thika aingia mitini
Na LAWRENCE ONGARO KIWANDA cha pombe ya mvinyo cha African Spirit Distillers Ltd, mjini Thika, Ijumaa kilifungwa uchunguzi dhidi yake...
- by adminleo
- January 24th, 2019
NAKURU: Walevi waungana kuwakomboa wenzao
NA RICHARD MAOSI WARAIBU wa pombe na mihadarati hatimaye wameanza kupata faraja baada ya kundi la kibinafsi lililobuniwa na walevi...
- by adminleo
- January 14th, 2019
Mama pima akwama kwa jombi eti amuoe
Na John Musyoki Machakos Mjini JAMAA anayeishi mjini hapa anajuta baada ya mama pima kukwamilia kwake baada ya kurushana...