• Nairobi
  • Last Updated May 21st, 2024 8:55 PM

Mwanamke amuua mumewe kwa kumuuliza sababu ya kuwa mlevi

Na PETER MBURU MWANAMKE amemuua mumewe, walipozozana baada ya kuulizwa ni kwa nini alikuwa amerejea nyumbani akiwa mlevi baada ya kutoka...

Chokoraa aliyetekwa na vileo sasa ni balozi dhidi ya unywaji pombe

Na SAMMY WAWERU PETER Muhia, ni jina ambalo alipewa mwaka wa 1990 na msamaria mwema. Akivuta mawazo yake nyuma anapohijiwa na Taifa Leo...

Vijana wanapeleka hela kwa kamari badala ya kulewa, KBL yalia

Na PATRICK ALUSHULA KAMPUNI za kutengeneza pombe zimeelezea wasiwasi wazo kuhusu kudorora kwa mauzo kufuatia ongezeko la idadi ya vijana...

EABL yatangaza kuongeza bei ya pombe

Na BERNARDINE MUTANU Kampuni ya pombe ya East African Breweries Limited (EABL) imetangaza azimio la kuongeza bei ya pombe ikiwa Hazina...

Wachina watoa pombe kwa wenye njaa Baringo

Na FLORAH KOECH KIZAAZAA kilishuhudiwa katika kijiji kimoja kinachokumbwa na uhaba wa chakula katika eneo la Tiaty, Kaunti ya Baringo...

Bodi yapendekeza kuwe na baa 3,000 pekee Nairobi

Na COLLINS OMULO JIJI la Nairobi huenda likawa na baa 3,000 pekee iwapo mapendekezo ya bodi ya kudhibiti uuzaji wa mvinyo yataidhinishwa...

Si hatia kuendesha gari ukiwa mlevi, jaji asema

Na JOSEPH WANGUI MAHAKAMA Kuu ya Nyeri iliamua Jumatatu kuwa uendeshaji gari ukiwa mlevi si hatia mradi dereva aweze kulithibiti...

Mbunge apendekeza vituo zaidi vya kurekebisha tabia, maadili Kiambu

Na SAMMY WAWERU KILA kaunti ndogo Kiambu inapaswa kuwa na kituo cha kurekebisha tabia na maadili, amesema mbunge Mwakilishi wa Wanawake,...

URAIBU WA POMBE: ‘Githeri Man’ angali mtumwa wa chang’aa

Na SAMMY WAWERU MARTIN Kamotho Njenga aliibua ucheshi mitandaoni na katika vyombo vya habari wakati wa uchaguzi mkuu wa Agosti 8, 2017,...

Mmiliki wa kiwanda cha pombe haramu Thika aingia mitini

Na LAWRENCE ONGARO KIWANDA cha pombe ya mvinyo cha African Spirit Distillers Ltd, mjini Thika, Ijumaa kilifungwa uchunguzi dhidi yake...

NAKURU: Walevi waungana kuwakomboa wenzao

NA RICHARD MAOSI WARAIBU wa pombe na mihadarati hatimaye wameanza kupata faraja baada ya kundi la kibinafsi lililobuniwa na walevi...

Mama pima akwama kwa jombi eti amuoe

Na John Musyoki Machakos Mjini JAMAA anayeishi mjini hapa anajuta baada ya mama pima kukwamilia kwake baada ya kurushana...