Tag: pwani
- by adminleo
- September 15th, 2019
RISSEA: Kituo kinachohifadhi utamaduni wa jamii za Pwani
NA RICHARD MAOSI RISSEA (Research Institute of Swahili Studies of East Afrika) ni taasisi ambayo ilibuniwa mnamo 1992 ili kuhifadhi...
- by adminleo
- September 8th, 2019
Uhuru aahidi wapwani vinono
Na ANTHONY KITIMO na ALLAN OLINGO KAUNTI zote sita za Pwani zitafaidika pakubwa baada ya Rais Kenyatta kuahidi kuanzisha na kutekeleza...
- by adminleo
- September 1st, 2019
JAMVI: Kimya cha vigogo wa kisiasa Pwani chatisha wafuasi
Na BENSON MATHEKA KIMYA cha vigogo wa kisiasa eneo la pwani kimeshangaza wengi huku mikutano ya viongozi wanaomezea urais eneo hilo...
- by adminleo
- May 19th, 2019
JAMVI: ‘Masimbajike’ wa Pwani walivyogeuka mahasimu wa kisiasa
Na SAMUEL BAYA SIASA ziliwaleta pamoja na inaonekana siasa hiyo hiyo sasa inawatenganisha. Hiyo ndiyo taswira kamili katika mienendo ya...
- by adminleo
- May 12th, 2019
JAMVI: Sababu kuu za pwani kulemewa kujibunia chama kimoja thabiti
KALUME KAZUNGU na CHARLES WASONGA MASWALI mengi yameibuliwa kuhusu sababu ya eneo la Pwani kutokuwa na chama kimoja cha kisiasa ambacho...
- by adminleo
- May 5th, 2019
JAMVI: Mwamko mpya Pwani wabunge wakiazimia kuzindua chama kipya
Na SAMUEL BAYA Baada ya kugundua kwamba huenda eneo la Pwani likabakia nyuma kimaendeleo, wanasiasa wa eneo hilo sasa wameamua kufufua...
- by adminleo
- April 21st, 2019
Mbunge apinga pendekezo la chama kipya Pwani
Na CHARLES LWANGA MBUNGE wa Magarini Michael Kingi amepinga wito wa viongozi kujiunga na Chama cha Umoja Summit Party of Kenya (USPK)...
- by adminleo
- March 31st, 2019
JAMVI: Kushindwa kudhibiti Pwani ni dalili Joho hatoshi kuwania Urais 2022
Na CHARLES WASONGA MVUTANO unaendelea kati ya serikali ya Gavana Hassan Joho na bunge la kaunti hiyo huenda ikaathiri ndoto zake za...
- by adminleo
- August 16th, 2018
Pigo kuu kwa Ruto Pwani Kingi kuungana na Joho
KAZUNGU SAMUEL na AHMED MOHAMMED GAVANA wa Kilifi Amason Kingi ambaye amekuwa mstari wa mbele kupigia debe ziara za Naibu Rais William...
- by adminleo
- August 6th, 2018
KURUNZI YA PWANI: Kampeni ya kuangamiza unywaji wa pombe haramu yaanza
Na HAMISI NGOWA VIONGOZI wa kidini pamoja na mashirika ya kijamii kwa ushirikiano na maafisa wa utawala katika eneobunge la Likoni...
- by adminleo
- August 6th, 2018
Aisha Jumwa alazwa kwa mshtuko wa kulaki mwili wa kaka yake
Na CHARLES LWANGA AFYA ya Mbunge wa Malindi Aisha Jumwa inaendelea kuimarika tangu alazwe hospitalini baada ya kupokea mwili wa kakake...
- by adminleo
- August 6th, 2018
KURUNZI YA PWANI: Miraa inavyovunja ndoa baada vijana kukosa nguvu chumbani
Na WINNIE ATIENO Ndoa nyingi zimeathirika katika kaunti ya Mombasa huku vijana waliofikisha umri wa kuoa wakishindwa kufanya hivyo...