Tag: pwani
- by adminleo
- July 9th, 2020
Pwani watishia kupinga BBI
Na CHARLES WASONGA VIONGOZI wa Pwani sasa wanatisha kupinga ripoti ya Mpango wa Maridhiano (BBI) ikiwa mfumo mpya wa ugavi wa fedha...
- by adminleo
- May 23rd, 2020
KURUNZI YA PWANI: Elungata aelezea Wapwani haja ya kushirikiana na maafisa maeneo mpakani yasalie salama
Na WINNIE ATIENO MSHIRIKISHI wa eneo la Pwani Bw John Elungata na afisa wa uhamiaji Bi Jane Nyandoro wamewaonya wakazi wanaoishi...
- by adminleo
- April 13th, 2020
Pwani wasaka dawa ya corona mitini
Na MISHI GONGO WAKAZI katika maeneo tofauti ya Pwani wameanza kutumia dawa za miti-shamba wakiamini zitawakinga wasiambukizwe virusi vya...
- by adminleo
- March 25th, 2020
CORONA: Nairobi na Pwani hatarini zaidi
NA WAANDISHI WETU KENYA sasa ina wagonjwa 25 wa virusi vya corona baada ya waziri wa Afya Bw Mutahi Kagwe kutangaza visa vingine 9 hapo...
- by adminleo
- January 27th, 2020
DIMBA PWANI: Karate inavyozua msisimko licha ya vizingiti vya udhamini
Na ABDULRAHMAN SHERIFF KARATE ni mojawapo ya michezo ambayo inaendelea kupata umaarufu katika jimbo la Pwani na hasa katika Kaunti ya...
- by adminleo
- January 18th, 2020
Viongozi sasa walia Rais amewatenga Wapwani
SIAGO CECE na CHARLES LWANGA WANASIASA wanaomuunga mkono Naibu Rais William Ruto, wachanganuzi wa siasa na viongozi wa kidini katika...
- by adminleo
- January 9th, 2020
Yaibuka ukafiri husukuma vijana kuua wazee
Na CHARLES LWANGA UKAFIRI na ukosefu wa msingi mwema wa kidini umedaiwa kuwa chanzo cha mauaji ya wazee kwa shutuma za uchawi na...
- by adminleo
- December 11th, 2019
Magavana wa Pwani sasa wazika tofauti zao
Na CHARLES LWANGA MAGAVANA sita wa kaunti za eneo la Pwani, wameamua kuweka kando tofauti zao za kisiasa ili kukuza uchumi wa ukanda huo...
- by adminleo
- December 10th, 2019
Krismasi: Hali ya usalama yaimarishwa Pwani
SIAGO CECE na WINNIE ATIENO SERIKALI imezidi kuimarisha usalama katika eneo la Pwani wakati huu wa msimu wa likizo ya sherehe za...
- by adminleo
- November 6th, 2019
PWANI: Wanawake waombwa kukubalia waume kuoa wake wengi
Na MOHAMED AHMED WANAWAKE wa Pwani wamehimizwa kuwakubalia waume zao kuoa wake zaidi ya mmoja ili kuwezesha kuongezeka kwa idadi ya watu...
- by adminleo
- November 5th, 2019
SENSA: Pwani walegea chumbani
Na MOHAMED AHMED ENEO la Pwani limo kwenye hatari ya kuendelea kubaki nyuma kimaendeleo na kisiasa kutokana na wakazi wake kukosa kutia...
- by adminleo
- October 24th, 2019
Balala alaumu Bandari, CFS kwa ulanguzi wa mihadarati
Na WINNIE ATIENO WAZIRI wa Utalii na Wanyamapori, Najib Balala amelaumu Bandari ya Mombasa na sehemu za kuhifadhi makasha (CFS) akidai...