• Nairobi
  • Last Updated May 20th, 2024 6:55 AM

AS Roma waizima Real Madrid katika mchuano wa kirafiki

Na MASHIRIKA ROMA, ITALIA NYOTA Gareth Bale alitokea benchi katika kipindi cha pili na kuwafungia waajiri wake Real Madrid bao katika...

Real kujinasia kiungo Van de Beek badala ya Pogba

Na MASHIRIKA REAL Madrid wamefichua azma ya kumsajili kiungo Donny van de Beek wa Ajax Amsterdam iwapo watashindwa kabisa kumshawishi...

GUMZO LA SPOTI: Real Madrid yamzuia Bale kuenda China

Na MASHIRIKA TUMAINI la Gareth Bale kutafuna mabilioni ya China limezimwa na waajiri wake Real Madrid ambao kwa sasa wamesema...

Bale katika hali tete ndani ya Real Madrid

Na MASHIRIKA MADRID, UHISPANIA RAIS wa zamani wa Real Madrid, Ramon Calderon amesema kwamba “itakuwa vigumu” kwa nyota Gareth Bale...

Real Madrid kuamua hatima ya Bale mwishoni mwa msimu

Na MASHIRIKA MADRID, UHISPANIA KOCHA Zinedine Zidane wa Real Madrid amesema kwamba mustakabali wa nyota matata mzawa wa Wales, Gareth...

Zizou alivyompokonya Mourinho tonge la Real

NA MASHIRIKA JUMA lililopita, klabu ya Real Madrid ilimteua tena Zinedine Zidane kuwa kocha mpya wa klabu hiyo baada ya kumpiga kalamu...

Mabingwa watetezi UEFA wasalimu amri

Na MASHIRIKA MADRID, Uhispania MATUMAINI ya Real Madrid kusonga mbele na kutwaa ubingwa wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) kwa mara ya nne...

Real Madrid mara hii hawaendi popote UEFA, ManCity wana nafasi kubwa

NA CHRIS ADUNGO KUKAMILIKA kwa kampeni za makundi katika kipute cha Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) wiki jana kulipisha droo ya hatua ya...

ADUNGO: Naona makombe yote ya UEFA yakielekea kwa timu za La Liga, Real Madrid na Atletico Madrid

Na CHRIS ADUNGO KATI ya timu nne za mwisho zinazofukuzia ufalme wa soka ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu, nahisi kwamba ni Real...

KIPENGA: Kumbe Real Madrid walikunywa Alvaro yote na kuuza chupa

Na JOB MOKAYA Msimu wa Ligi Kuu ya Uingereza unaelekea kukamilika rasmi. Manchester City imetia ligi kibindoni na timu nyingine kubwa...

Buffon: Michael Oliver ana jaa la taka rohoni, alifaa kula vibanzi na mashabiki

Na CHRIS ADUNGO KIPA wa Juventus Gianluigi Buffon alimkejeli kwa kila aina ya maneno mazito refarii Michael Oliver baada ya timu yake...

Juventus yakabiliana na Real Madrid baada ya penalti chungu

Na CHRIS ADUNGO TIMU ya Juventus Jumatano usiku ililazimika kuaga kipute cha Klabu Bingwa Ulaya baada ya refa kuipa Real Madrid penalti...