• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Rigathi ataka Raila, Kalonzo waipe serikali ya Kenya Kwanza muda zaidi kabla ya kuikosoa

NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais Rigathi Gachagua sasa anawataka viongozi wa upinzani wakome kuikosoa serikali ya Kenya Kwanza bali waipe...

Urais: Midahalo ya wawaniaji wenza wa mirengo tofauti itafanyika Julai 19

NA CHARLES WASONGA MIDAHALO kati ya wagombea wenza kwenye kinyang'anyiro cha urais itafanyika Jumanne, Julai 19, 2022, katika Chuo Kikuu...

Ruto acheza karata ya mwaniaji mwenza

NA BENSON MATHEKA UAMUZI wa Naibu Rais William Ruto wa kumteua Mbunge wa Mathira, Rigathi Gachagua kuwa mwaniaji mwenza wake kwenye...

Usimwamini Uhuru, sasa Gachagua aonya Kalonzo

Na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Mathira Rigathi Gachagua amemtaka kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka kutoweka matumaini yake kwa Rais Uhuru...

Washirika wa Ruto wamkosoa vikali rais

Na WANDERI KAMAU WASHIRIKA wa Naibu Rais William Ruto wamemkosoa vikali Rais Uhuru Kenyatta kufuatia matamshi aliyotoa katika Ikulu...

Washukiwa wafurika katika siasa

Na CHARLES WASONGA WAKENYA watawachagua tena viongozi wanaokabiliwa na kesi za ufisadi kutokana na ukosefu wa sheria inayowazima...

Kesi ya ufisadi ya Sh7.4Bn dhidi ya Mbunge Rigathi Gachagua kuskizwa Septemba 2022

Na RICHARD MUNGUTI KESI ya ufisadi inayomkabili Mbunge wa Mathira Rigathi Gachagua ya ufujaji wa zaidi ya Sh7.4bilioni itaanzaz...

Rigathi hatimaye nje kwa dhamana ya Sh12 milioni

Na RICHARD MUNGUTI MBUNGE wa Mathira, Rigathi Gachagua aliyeshtakiwa Jumatatu kwa kujipatia, kifisadi, zaidi ya Sh7 bilioni aliachiliwa...

Rigathi Gachagua adokeza mkataba wa Mlima Kenya kumuunga Dkt Ruto 2022 umeiva asilimia 85

Na MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Mathira Bw Rigathi Gachagua, Jumanne ametangaza kuwa mkataba wa ‘Tangatanga’ Mlima Kenya na Naibu Rais...

JAMVI: BBI yaacha Tangatanga Mlima Mkenya kwenye njiapanda 2022 ikinukia

Na WANDERI KAMAU HATUA ya mabunge ya kaunti katika ukanda wa Mlima Kenya kuupitisha mswada wa ripoti ya Mpango wa Maridhiano(BBI) wiki...

Rigathi Gachagua ahojiwa na DCI kuhusiana na sakata ya Sh12.5 bilioni

Na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Mathira, Rigathi Gachagua Jumatatu alihojiwa na maafisa wa Idara ya Kuchunguza Uhalifu (DCI) kuhusiana na...

Rigathi Gachagua amwomboleza mamaye

Na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Mathira Rigathi Gachagua anaombolewa mamake, Martha Kirigo Gachagua aliyefariki Jumatatu, Desemba 23,...