Tag: sakata
- by adminleo
- May 29th, 2018
SAKATA YA NYS: Orodha kamili ya samaki wote waliovuliwa katika ziwa la ufisadi
Na VALENTINE OBARA KUFUATIA sakata ya NYS ambapo Sh9 bilioni zilitoweka katika hali isiyoeleweka, idara ya upelelezi ikishirikiana na...
- by adminleo
- May 28th, 2018
SAKATA YA NYS: Orodha ya washukiwa waliokamatwa Jumatatu
FAUSTINE NGILA na STELLA CHERONO MAAFISA wa upelelezi Jumatatu asubuhi wamekuwa mbioni kuwakata washukiwa washukiwa wakuu wa wizi wa...
- by adminleo
- May 28th, 2018
Waliotafuna mabilioni ya NYS kuanza kukamatwa
Na VALENTINE OBARA WAHUSIKA wakuu kwenye sakata ya ufisadi katika shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS) wanatarajiwa kuanza...
- by adminleo
- May 26th, 2018
Disaina matatani licha ya kurudisha mamilioni aliyotumiwa na NYS kimakosa
Na BERNADINE MUTANU DISAINA mmoja wa fasheni za mavazi amejipata matatani katika sakata ya Huduma ya Kitaifa ya Vijana (NYS) kwa sababu ya...
- by adminleo
- May 22nd, 2018
Sakata ya NYS: Waziri Kariuki aitwa bungeni kuelezea pesa zilivyotoweka
Na LUCY KILALO WAZIRI wa Afya ambaye aliwahi kuhudumu kama Waziri wa Utumishi wa Umma, Jinsia na Vijana, Sicily Kariuki, amehitajika...
- by adminleo
- May 21st, 2018
TAHARIRI: Ufisadi wa kiwango hiki utaiponza nchi
Na MHARIRI Matukio ya hivi majuzi nchini yamedhihirisha uozo ambao umekithiri katika taifa ambalo limekumbwa na visa mbalimbali vya...
- by adminleo
- May 21st, 2018
SHOKA LA NYS: Wote wanaochunguzwa watumwa likizo ya lazima
Na VALENTINE OBARA MAAFISA wote wanaochunguzwa kuhusiana na sakata ya ufisadi wa Sh9 bilioni katika Shirika la Huduma ya Vijana kwa...
- by adminleo
- May 16th, 2018
Waliotajwa kwa sakata ya NYS wajiuzulu wasitatize uchunguzi – Mbadi
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta Jumatano ametakiwa kuwauliza maafisa waliotajwa katika kashfa ambapo Sh9 bilioni zilipotea katika...
- by adminleo
- March 14th, 2018
Wizara ya Afya yasema haijui ziliko Sh11 bilioni
Na BERNARDINE MUTANU Wizara ya Afya imeshindwa kuelezea zilikoenda au zilivyotumiwa Sh11 bilioni ilizopewa. Ripoti hii ni kwa mujibu wa...
- by adminleo
- March 14th, 2018
NLC yashindwa kuelezea ziliko Sh2 bilioni
[caption id="attachment_1795" align="aligncenter" width="800"] Mwenyekiti wa Tume ya Kitaifa ya Ardhi Dkt Muhammad Swazuri. Picha/...
- by adminleo
- March 14th, 2018
Ndani miaka 25 kwa kufuja pesa za CDF
Na GERALD BWISA MAHAKAMA moja ya Kitale Jumanne iliwahukumu wanachama wawili wa iliyokuwa kamati ya usimamizi wa fedha za Hazina ya CDF...
- by adminleo
- March 14th, 2018
Sakata mpya ya mahindi serikalini yawaletea wakulima hasara kubwa
Na WAANDISHI WETU Kwa ufupi: Sehemu ya Sh7.1 bilioni zilizotengwa kwenye bajeti ya 2017/2018 kununua mahindi kutoka kwa wakulima...