Tag: shina la uhai
SHINA LA UHAI: Kasoro ya kimaumbile imemnyima shangwe maishani
Na PAULINE ONGAJI ALIGUNDUA kwamba hakuwa na viungo vya uzazi akiwa na umri wa miaka 17. Naam, Julian Peters, alizaliwa bila viungo...
SHINA LA UHAI: Mbu ‘wapya’ wanaotishia wakazi mijini
Na LEONARD ONYANGO WAKATI wa likizo ya Aprili mwaka 2019 Jane Wesonga ambaye ni mkazi wa Githurai, jijini Nairobi, aliwapeleka binti...
SHINA LA UHAI: Kidonda cha dhuluma za kimapenzi huacha makovu sugu
Na PAULINE ONGAJI UNAPOMTAZAMA ni rahisi kutambua uchungu unaomkumba, hali ambayo inajitokeza kupitia hofu machoni mwake anapojaribu...
- by adminleo
- July 14th, 2020
SHINA LA UHAI: Gharama ya kudumisha figo mpya inavyolemea wengi
Na BENSON MATHEKA ALIPOPATA mtu wa kumtolea figo mwaka wa 2014, Joseph Ndirangu alidhani alikuwa amemaliza tatizo lililotishia maisha...
- by adminleo
- June 9th, 2020
SHINA LA UHAI: Corona si hatari tu kwa afya bali pia mazingira
Na LEONARD ONYANGO VIDEO ya mwanaume aliyeonekana akisafisha barakoa/maski zilizotumika iliwatia hofu Wakenya ilipochipuza katika...
- by adminleo
- May 26th, 2020
SHINA LA UHAI: Covid-19 tishio kwa sekta ya afya duniani
Na LEONARD ONYANGO JANE Atieno (si jina lake halisi) wiki iliyopita alizuru kituo kimoja cha afya katika Kaunti ya Homa Bay, baada ya...
- by adminleo
- March 17th, 2020
SHINA LA UHAI: Ongezeko la mimba za mapema fumbo linalotatiza wataalamu
Na PAULINE ONGAJI KATIKA umri wa miaka 16 pekee, Tsuma, mwanafunzi wa Kidato cha Tatu katika kijiji cha Maweni, Kaunti ya Kilifi...
- by adminleo
- March 10th, 2020
SHINA LA UHAI: Uavyaji ulivyosalia ‘mada ngumu’ licha ya wengi kufariki
Na MARY WANGARI TANGU jadi, suala la ngono na uzazi kuhusu jinsia ya kike huibua mjadala na kuvutia hisia kali kila wakati. Japo...
- by adminleo
- March 3rd, 2020
SHINA LA UHAI: Wasiwasi wa wauguzi uhaba wa damu ukikithiri
Na BENSON MATHEKA MAELFU ya wagonjwa nchini wanakabiliwa na hatari ya kuaga dunia baada ya kubainika kuwa nchi hii inakabiliwa na...
- by adminleo
- February 18th, 2020
SHINA LA UHAI: Tatizo la mwasho wa ngozi na matibabu
Na BENSON MATHEKA KUJIKUNA ngozi sio jambo la kawaida jinsi baadhi ya watu wanavyodhani. Ukikumbwa na hali hii, nenda ukamuone...
- by adminleo
- January 28th, 2020
SHINA LA UHAI: Pombe sumu ya wanawake
Na LEONARD ONYANGO “MABAYA yanaponikumba, ninakunywa pombe ili nisahau. Ninapopata mazuri ninalewa ili kusherekea. Ikiwa hakutatokea...
- by adminleo
- January 21st, 2020
SHINA LA UHAI: Makovu ya ubakaji tishio kwa afya
Na PAULINE ONGAJI NI mwendo wa saa mbili usiku ambapo Nadia, yuko nyumbani kwake mtaani Kariobangi, viungani mwa jiji la...