Tag: shina la uhai
- by adminleo
- January 7th, 2020
SHINA LA UHAI: Madhara ya ukeketaji kwa afya ya wanawake
Na PAULINE ONGAJI ALIPOKEKETWA akiwa msichana wa umri wa miaka 13 pekee wakati huo, wazazi wake Chemoyo Lopuonyang, walikuwa na uhakika...
- by adminleo
- December 31st, 2019
SHINA LA UHAI: Kupiga mpira kwa kichwa hatari kwa ubongo wa wanawake
Na LEONARD ONYANGO JE, upigaji mpira kwa kutumia kichwa mara kwa mara miongoni mwa akina dada wanaosakata kabumbu huathiri...
- by adminleo
- December 3rd, 2019
SHINA LA UHAI: HPV, virusi vinavyoendelea kuwa adui wa mtoto wa kike
Na PAULINE ONGAJI ALIPOGUNDUA kwamba alikuwa katika kiwango cha nne (stage four) cha maradhi ya kansa ya mlango wa uzazi mwaka wa 2015,...
- by adminleo
- November 26th, 2019
SHINA LA UHAI: Hatari ya sumu ipo kila twendako sio kwenye chakula pekee
Na BENSON MATHEKA UNAJUA kwamba sumu inaweza kuingia katika mwili wako kupitia pumzi na miale hatari? Wataalamu wanasema sio lazima...
- by adminleo
- November 19th, 2019
SHINA LA UHAI: Watumiaji mihadarati sasa watatambulika kwa kupimwa viganja
Na LEONARD ONYANGO MIKONO ya watumiaji wa mihadarati huenda sasa ikatumika kama ushahidi kortini baada ya wanasayansi wa nchini...
- by adminleo
- November 12th, 2019
SHINA LA UHAI: Baridi ilivyo hatari kwa watoto
Na BENSON MATHEKA CHUNGA mtoto wako asiathiriwe na baridi kali iwapo unataka akue vyema. Wataalamu wa afya bora wanasema kuwa watoto...
- by adminleo
- November 5th, 2019
SHINA LA UHAI: Huenda ukapima ubongo wa mtoto angali tumboni
Na LEONARD ONYANGO AKINA mama wajawazito huenda wakatumia simu kupima watoto wao tumboni kubainisha ikiwa ubongo una dosari au...
- by adminleo
- November 5th, 2019
SHINA LA UHAI: HIV mkuki kwa vijana, kunaendaje?
Na PAULINE ONGAJI KAMA watoto wengine wa kawaida wanaolelewa kijijini kuliko na maisha magumu, ndoto yake Kimutai Kemboi, 28 ilikuwa...
- by adminleo
- October 29th, 2019
SHINA LA UHAI: Ufahamu ugonjwa wa Tetekuwanga na matibabu yake
Na BENSON MATHEKA MOJA kati ya maradhi yanayowasumbua watoto wachanga na watu wazima katika maisha yao, ni Tetekuwanga, tetewanga au...
- by adminleo
- October 22nd, 2019
SHINA LA UHAI: Upasuaji wa titi ulivyomzidishia karaha maishani
Na PAULINE ONGAJI MIAKA minne iliyopita, Rosemary Wangu Mwangi, 55, alikuwa anaishi maisha ya kawaida ambapo alikuwa akiendesha biashara...
- by adminleo
- October 15th, 2019
SHINA LA UHAI: Homa ya nyongo ya manjano katika watoto wachanga
Na BENSON MATHEKA RANGI ya ngozi yako ikigeuka kuwa ya manjano na ujihisi kuwa mchovu huku mkojo wako ukibadilika na kuwa mweusi, una...
- by adminleo
- October 8th, 2019
SHINA LA UHAI: Afua kwa wanaougua kansa ya mapafu
Na LEONARD ONYANGO MATUMAINI ya wagonjwa wa kansa ya mapafu kupata matibabu yameongezeka baada ya wanasayansi kuthibitisha kuwa kifaa...