• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 8:55 PM

EACC lawamani kutompa Sonko ushahidi

Na RICHARD MUNGUTI TUME ya Kupambana na Ufisadi nchini (EACC) Juma nne ilishutumiwa na mahakama kwa kutowapa Gavana Mike Sonko na...

Sonko ajipeleka kichinjioni

Na MWANDISHI WETU HATUA ya Gavana wa Nairobi Mike Sonko kumteua Anne Kananu Mwenda kuwa naibu wake, imegeuka kuwa kamba aliyowarushia...

Nairobi kupata Naibu Gavana hivi karibuni

Na RICHARD MUNGUTI HIVI karibuni kaunti ya Nairobi itakuwa na naibu wa Gavana baada ya tume huru ya uchaguzi na mipaka kuidhinisha...

Afueni kwa Sonko akaunti zake tano kufunguliwa

Na RICHARD MUNGUTI KAMBA za kisheria zilizomkaza Gavana Mike Sonko zimeanza kulegezwa baada ya agizo akaunti zake tano za pesa...

Sonko aililia mahakama imruhusu asafiri Dubai

Na RICHARD MUNGUTI GAVANA Mike Sonko Jumatano aliomba mahakama imruhusu ahudhurie mkutano wa viongozi wa kimataifa unaoandaliwa na Umoja...

Sonko baridi Babayao akizama

LEONARD ONYANGO na MAUREEN KAKAH GAVANA Mike Sonko wa Nairobi ameingiwa na baridi baada ya jirani yake Ferdinand Waititu kunyolewa...

Sonko akesha akiomba kesi ya kuvamia askari itupwe

Na WAANDISHI WETU GAVANA wa Nairobi Mike Sonko alikesha Jumanne akiomba kesi dhidi yake ya kumshambulia afisa wa polisi itupiliwe...

Sonko apata afueni mahakama ya Voi kufunga faili ya kesi dhidi yake

LUCY MKANYIKA na MARY WANGARI NI afueni kwa Gavana wa Kaunti ya Nairobi Mike Mbuvi Sonko baada ya mahakama ya Voi kufunga faili ya kesi...

Jaji Mumbi ajiondoa kwa kesi ya Sonko

RICHARD MUNGUTI na LUCY MKANYIKA JAJI Mumbi Ngugi wa Mahakama Kuu , amejiondoa katika kesi ya ufisadi dhidi ya Gavana wa Nairobi, Bw...

Hali yao mbaya

Na VALENTINE OBARA MAGAVANA sita, wabunge saba na seneta mmoja ni kati ya watu mashuhuri watakaopokonywa walinzi na bunduki...

Elachi amkataa Ann Mwenda kuwa naibu mteule wa Sonko

Na COLLINS OMULO GAVANA wa Nairobi Mike Sonko amepatwa na pigo baada ya jina la Ann Mwenda aliyemteua kuwa naibu wake kukataliwa na...

Kesi ya Sonko kuendelea

Na Richard Munguti GAVANA Mike Sonko Alhamisi alipata pigo kubwa Mahakama kuu ilipokataa kusitisha kusikizwa kwa kesi ya ufujaji wa...