Tag: sonko
- by adminleo
- January 13th, 2020
Waliokuwa wakitegemea misaada ya Sonko waumia
Na COLLINS OMULO UGUMU wa maisha ambao huandamana na mwezi wa Januari unaosababishwa na uhaba wa fedha umekumba mamia ya watu...
- by adminleo
- January 11th, 2020
Serikali yataka Sonko atupwe ndani pia
Na MAUREEN KAKAH HUENDA kesi ya ufisadi inayomkabili gavana wa Nairobi Mike Mbuvi Sonko ikasikilizwa akiwa seli baada ya serikali...
- by adminleo
- January 9th, 2020
Sina hela za kulisha familia, Sonko sasa alia
MAUREEN KAKAH na SAM KIPLAGAT GAVANA wa Nairobi, Mike Sonko amelilia mahakama imhurumie kwa kuwa familia yake inateseka kwa kukosa pesa...
- by adminleo
- January 9th, 2020
Sonko apumua madiwani kusema hawatamng’atua
NA COLLINS OMULO SPIKA wa Bunge la Kaunti ya Nairobi Beatrice Elachi amesema kwamba madiwani wa Bunge hilo la Kaunti hawatawasilisha...
- by adminleo
- December 24th, 2019
2019: Jinsi kitumbua cha Gavana Sonko kiliingia mchanga
Na COLLINS OMULO VITUKO vya kila aina kama vile kupiga ngumi ukuta, kumpigia simu Rais Uhuru Kenyatta huku akiwa ameweka sauti ya juu na...
- by adminleo
- December 24th, 2019
2019: Sonko alivyotumia majina 5 kufanikisha ufisadi
Na RICHARD MUNGUTI KESI ya ufisadi iliyomkumba Gavana wa Nairobi Mike Sonko aliyefikishwa kortini Desemba 9, 2019 ilifichua madai kwamba...
- by adminleo
- December 23rd, 2019
Madiwani 18 wala njama ya kumwokoa Sonko
Na COLLINS OMULO MADIWANI 18 wamekula njama ya kutibua jaribio la kumtimua Gavana wa Nairobi Mike Sonko, imefichuka. Madiwani hao...
- by adminleo
- December 22nd, 2019
Mutula Kilonzo ajitetea kumwakilisha Sonko
Na PIUS MAUNDU SENETA Mutula Kilonzo Junior wa Makueni amejitetea vikali dhidi ya shutuma za kumwakilisha Gavana Mike Sonko kwenye kesi...
- by adminleo
- December 17th, 2019
Sonko kujibu mashtaka mapya Voi
Na RICHARD MUNGUTI GAVANA wa Nairobi Mike Sonko, ambaye ameshtakiwa kwa ufujaji wa Sh381 milioni za umma, Jumatano anatarajiwa kufika...
- by adminleo
- December 13th, 2019
Vipi Sonko alipona kimiujiza?
Na RICHARD MUNGUTI GAVANA wa Nairobi Mike Sonko alienda nyumbani moja kwa moja baada ya kuweka dhamana ya Sh15 milioni pesa taslimu...
- by adminleo
- December 12th, 2019
Nani atafuata?
Na RICHARD MUNGUTI WASIWASI umewakumba magavana wapatao sita baada ya mwenzao Mike Sonko wa Nairobi kufikisha idadi ya waliozimwa...
- by adminleo
- December 11th, 2019
Giza latanda Nairobi
Na COLLINS OMULLO KAUNTI ya Nairobi sasa iko taabani kufuatia hatua ya mahakama kumpiga breki Gavana Mike Sonko kwenda afisini licha ya...