• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 7:50 AM

Wakulima wakashifu wanasiasa kutumia shida za Mumias kujifaa

Na SHABAN MAKOKHA WAKULIMA wa miwa wametaka wanasiasa wakome kupinga kampuni ya sukari ya Mumias kusimamiwa na mrasimu. Kulingana...

Kampuni ya sukari ya Mumias yawekwa chini ya mrasimu

Na BENSON AMADALA na CHARLES WASONGA MASAIBU ya kampuni ya sukari ya Mumias yaliongezeka Jumanne baada ya Benki ya Kenya Commercial...

Serikali ya Oparanya kujadili ripoti ya kufufua Mumias Sugar

NA BENSON AMADALA RIPOTI ya Jopokazi lililoteuliwa na Gavana Wycliffe Oparanya kupendekeza mbinu ya kufufua kiwanda cha sukari cha...

Wito serikali kuu isitishe uuzaji viwanda vya miwa

DENNIS LUBANGA na BARNABAS BII VIONGOZI kutoka maeneo ya kukuza sukari katika ukanda wa Magharibi, wanaitaka serikali kusimamisha...

Sukari yenye sumu yatoweka kimiujiza kutoka stoo Pwani

Na MOHAMED AHMED JUHUDI za serikali kuwalinda Wakenya dhidi ya sukari inayoaminika kuwa na sumu zimegonga mwamba baada ya magunia 5,000...

AWINO: Wakuzaji miwa waige wenzao wa mahindi

Na GILBERT AWINO Ripoti kutoka Bodi ya Sukari nchini yaonyesha kwamba katika kipindi cha miezi sita iliyopita, serikali iliagiza sukari...

Viongozi wapinga uuzaji wa viwanda vya sukari

DENNIS LUBANGAna BARNABAS BII VIONGOZI kutoka maeneo yanayokuza miwa Magharibi mwa Kenya, wameitaka serikali kusimamisha shughuli za...

Magunia 580 ya sukari ghushi yanaswa Narok

NA GEORGE SAYAGIE MAKACHERO mjini Narok Jumanne walinasa magunia 580 ya kilo 90 za sukari yanayoshukiwa kuwa ghushi na kuingizwa nchini...

Zogo la Malala, Oparanya kuhusu Mumias lachacha

Na SHABAN MAKOKHA MZOZO kuhusu changamoto zinazoikumba kampuni ya sukari ya Mumias umechukua mkondo mpya baada ya Seneta wa Kakamega...

Kaunti kutwaa usimamizi wa kiwanda cha Mumias Sugar

Na SHABAN MAKOKHA HALI ya matumaini imerejea miongoni mwa wakulima wa miwa katika eneo la Mumias, Kaunti ya Kakamega, baada ya serikali...

Wafanyakazi wa Sony Sugar wagoma kudai malipo

Na ELIZABETH OJINA WAFANYAKAZI zaidi ya 2,000 wa Kampuni ya Sukari ya Sony, Jumanne waligoma kulalamikia kutolipwa mishahara...

Kampuni ya Mumias yakana madai kwamba imefilisika

Na SHABAN MAKOKHA WASIMAMIZI wa Kampuni ya Sukari ya Mumias wamekanusha madai ya baadhi ya wanasiasa kutoka Kakamega kwamba kampuni hiyo...