Tag: sukari
- by adminleo
- October 7th, 2019
Wakulima wakashifu wanasiasa kutumia shida za Mumias kujifaa
Na SHABAN MAKOKHA WAKULIMA wa miwa wametaka wanasiasa wakome kupinga kampuni ya sukari ya Mumias kusimamiwa na mrasimu. Kulingana...
- by adminleo
- September 25th, 2019
Kampuni ya sukari ya Mumias yawekwa chini ya mrasimu
Na BENSON AMADALA na CHARLES WASONGA MASAIBU ya kampuni ya sukari ya Mumias yaliongezeka Jumanne baada ya Benki ya Kenya Commercial...
- by adminleo
- August 15th, 2019
Serikali ya Oparanya kujadili ripoti ya kufufua Mumias Sugar
NA BENSON AMADALA RIPOTI ya Jopokazi lililoteuliwa na Gavana Wycliffe Oparanya kupendekeza mbinu ya kufufua kiwanda cha sukari cha...
- by adminleo
- August 14th, 2019
Wito serikali kuu isitishe uuzaji viwanda vya miwa
DENNIS LUBANGA na BARNABAS BII VIONGOZI kutoka maeneo ya kukuza sukari katika ukanda wa Magharibi, wanaitaka serikali kusimamisha...
- by adminleo
- August 11th, 2019
Sukari yenye sumu yatoweka kimiujiza kutoka stoo Pwani
Na MOHAMED AHMED JUHUDI za serikali kuwalinda Wakenya dhidi ya sukari inayoaminika kuwa na sumu zimegonga mwamba baada ya magunia 5,000...
- by adminleo
- July 23rd, 2019
AWINO: Wakuzaji miwa waige wenzao wa mahindi
Na GILBERT AWINO Ripoti kutoka Bodi ya Sukari nchini yaonyesha kwamba katika kipindi cha miezi sita iliyopita, serikali iliagiza sukari...
- by adminleo
- July 21st, 2019
Viongozi wapinga uuzaji wa viwanda vya sukari
DENNIS LUBANGAna BARNABAS BII VIONGOZI kutoka maeneo yanayokuza miwa Magharibi mwa Kenya, wameitaka serikali kusimamisha shughuli za...
- by adminleo
- June 11th, 2019
Magunia 580 ya sukari ghushi yanaswa Narok
NA GEORGE SAYAGIE MAKACHERO mjini Narok Jumanne walinasa magunia 580 ya kilo 90 za sukari yanayoshukiwa kuwa ghushi na kuingizwa nchini...
- by adminleo
- June 7th, 2019
Zogo la Malala, Oparanya kuhusu Mumias lachacha
Na SHABAN MAKOKHA MZOZO kuhusu changamoto zinazoikumba kampuni ya sukari ya Mumias umechukua mkondo mpya baada ya Seneta wa Kakamega...
- by adminleo
- May 19th, 2019
Kaunti kutwaa usimamizi wa kiwanda cha Mumias Sugar
Na SHABAN MAKOKHA HALI ya matumaini imerejea miongoni mwa wakulima wa miwa katika eneo la Mumias, Kaunti ya Kakamega, baada ya serikali...
- by adminleo
- April 16th, 2019
Wafanyakazi wa Sony Sugar wagoma kudai malipo
Na ELIZABETH OJINA WAFANYAKAZI zaidi ya 2,000 wa Kampuni ya Sukari ya Sony, Jumanne waligoma kulalamikia kutolipwa mishahara...
- by adminleo
- March 18th, 2019
Kampuni ya Mumias yakana madai kwamba imefilisika
Na SHABAN MAKOKHA WASIMAMIZI wa Kampuni ya Sukari ya Mumias wamekanusha madai ya baadhi ya wanasiasa kutoka Kakamega kwamba kampuni hiyo...