Tag: tahariri
- by T L
- April 7th, 2022
TAHARIRI: Bajeti mwaka huu isaidie kukwamua Wakenya kiuchumi
NA MHARIRI WAKENYA leo wanasubiri kwa hamu na ghamu kufuatilia yaliyomo kwenye Bajeti ya Mwaka wa Kifedha wa 2022/23 ambayo ni ya mwisho...
- by T L
- April 6th, 2022
TAHARIRI: Vijana wapaswa kuelimishwa kuhusu hatari ya ghasia uchaguzini
NA MHARIRI KWA mujibu wa Katiba ya 2010, vijana wamefafanuliwa kama watu wenye umri wa kati ya miaka 18 na 34. Vijana hawa watakuwa...
- by T L
- April 5th, 2022
TAHARIRI: Ieleweke kuwa raia hawezi kushiba kwa ahadi tupu
NA MHARIRI KATIKA kila mwaka wa uchaguzi, imekuwa kama desturi bei za bidhaa mbalimbali kupanda kwa kiwango cha kushtua. Mwaka huu,...
- by T L
- April 4th, 2022
TAHARIRI: Serikali iingilie kati na kumaliza uhaba wa mafuta unaoshuhudiwa nchini
NA MHARIRI UHABA wa mafuta unaoshuhudiwa sasa nchini ni jambo linalofaa kutatuliwa kwa haraka. Ingawa tatizo hili ni la kimataifa,...
- by T L
- March 27th, 2022
TAHARIRI: Pombe haramu ni janga kwa taifa letu
NA MHARIRI KILA mwaka visa vya watu kufa au kuathiriwa na pombe haramu huwa vinaripotiwa. Katika kisa cha hivi punde, watu sita...
- by T L
- March 24th, 2022
TAHARIRI: Serikali iwaachie maseneta kazi ya kufuatilia pesa zipewazo kaunti
NA MHARIRI MZOZO unaoendelea kuhusu mwenye mamalak aya kusimamia pesa zinazotumwa kwa kaunti haufai. Bunge la Kitaifa na lile la...
- by T L
- March 23rd, 2022
TAHARIRI: Demokrasia ya vyama nchini ni ya kufikirika tu
NA MHARIRI KWA mujibu wa kanuni zilizotolewa na msajili wa vyama vya kisiasa nchini Bi Anne Nderitu, wanasiasa wana muda wa hadi siku ya...
- by T L
- March 22nd, 2022
TAHARIRI: Itakuwa aibu raia mwenye njaa kuombwa kura
NA MHARIRI MAELFU ya wananchi katika pembe tofauti za nchi wanatarajiwa kuendelea kukumbwa na makali ya njaa mwaka huu 2022. Hii ni...
- by T L
- March 21st, 2022
TAHARIRI: Serikali iseme ukweli kuhusu kuvuja mtihani unaoendelea
NA MHARIRI IDARA ya Upelelezi wa Jinai (DCI) inawazuilia watu walio kwenye genge linalosambaza karatasi za mtihani wa kitaifa wa kidato...
- by T L
- March 16th, 2022
TAHARIRI: Serikali isiwe na huruma kwa wezi wa mitihani nchini
NA MHARIRI SIKU ya Jumatatu jumla ya watahiniwa 831,015 wa kidato cha nne walianza mtihani wa kitaifa wa KCSE kote nchini. Serikali...
- by T L
- March 15th, 2022
TAHARIRI: Si haki kuzidi kupuuza elimu ya mtoto maskini
NA MHARIRI KWA miaka michache sasa, serikali ya kitaifa imekuwa ikiangazia sana hitaji la kutekeleza kikamilifu mfumo mpya wa elimu ya...
- by T L
- March 13th, 2022
TAHARIRI: Boda: Msako kusitishwa ni nafasi ya kutafuta stakabadhi
NA MHARIRI IDARA ya polisi jana Jumamosi ilisitisha msako mkali kwa wahudumu wa bodaboda, msako ambao ulitangazwa na Rais Uhuru Kenyatta...