Tag: tahariri
- by T L
- April 30th, 2022
TAHARIRI: Mwelekeo wa soka utolewe kamati shikilizi ikiondoka Mei 11
NA MHARIRI MASWALI chungu nzima yanaendelea kuibuliwa kuhusu hatima ya soka ya Kenya huku Kamati Shikilizi iliyobuniwa na serikali...
- by T L
- April 29th, 2022
TAHARIRI: Serikali sharti itatue hili suala la mafuta kikamilifu
NA MHARIRI KWA mara nyingine, taifa linakodolea macho mgogoro mpya kuhusu uhaba wa mafuta nchini. Wiki mbili baada ya serikali,...
- by T L
- April 27th, 2022
TAHARIRI: Wawaniaji urais watumie vyema fursa hii ambayo IEBC imewapatia
NA MHARIRI HATUA iliyochukuliwa jana na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kuwaongezea muda wawaniaji urais haifai kutumiwa...
- by T L
- April 26th, 2022
TAHARIRI: Wasichana waokolewe dhidi ya mimba za mapema
NA MHARIRI YEYOTE anayewapa watoto dawa za kupanga uzazi anajihatarisha kutumikia kifungo cha miaka 20 jela. Wale wanaojihusisha na...
- by T L
- April 25th, 2022
TAHARIRI: Wadau waungane kumaliza athari za malaria nchini
NA MHARIRI KENYA leo itajiunga na dunia nzima kuadhimisha Siku ya Malaria Duniani. Kaulimbiu ya mwaka huu ni: “Kushinikiza uvumbuzi...
- by T L
- April 24th, 2022
TAHARIRI: Wanasiasa wamwenzi Kibaki kwa kuiga siasa zake safi
NA MHARIRI KIBAKI atakumbukwa kwa mengi, hasa ufufuzi wa uchumi wa nchi, lakini pia alikuwa mwanasiasa aliyestahabu ustaarabu katika...
- by T L
- April 23rd, 2022
TAHARIRI: Heko za dhati wanamichezo kwa kuchochea chipukizi nchini
NA MHARIRI TIMU ya taifa ya ndondi ‘Hit Squad' ilivuma katika mashindano ya Afrika Zoni ya tatu nchini DRC kwa kushinda jumla ya...
- by T L
- April 20th, 2022
TAHARIRI: Wasiolipa Helb wafuatiliwe na kuhimizwa kulipa ili wafae wengine
NA MHARIRI BODI ya Mikopo ya Elimu ya Juu (Helb) kwa miaka mingi imewawezesha wanafunzi wengi kulipia masomo yao ya chuo...
- by T L
- April 18th, 2022
TAHARIRI: Tuharakishe mipango ya kuangamiza viwavijeshi
NA MHARIRI MWEZI huu wa Aprili kawaida huwa wakati ambapo mvua huanza kunyesha nchini. Katika maeneo ya Pwani na Kati mwa nchi, mvua...
- by T L
- April 10th, 2022
TAHARIRI: Wasichana walindwe dhidi ya ukeketaji
NA MHARIRI LIPO kundi la siri eneo la Kati mwa Kenya ambalo ni tishio kuu kwa wanawake, hasa wasichana wadogo. Hili ni dhehebu ambalo...
- by T L
- April 9th, 2022
TAHARIRI: Maonevu dhidi ya timu za Kenya zikicheza ugenini yakomeshwe
NA MHARIRI KATIKA mashindano ya Africa Zone 3 yaliyoandaliwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) mwaka jana 2021, timu ya...
- by T L
- April 8th, 2022
TAHARIRI: Tunateseka kwa kukosa mipangilio
NA MHARIRI HAKIKA taifa la Kenya tunapitia kipindi kigumu, na hii ni dhahiri kwa yeyote aliye mkazi wa nchi hii. Ni kweli kuna...