Tag: ubakaji
- by adminleo
- March 12th, 2019
Washukiwa wa ubakaji waachiliwa, korti yasema sura ya mlalamishi haivutii
MASHIRIKA Na PETER MBURU WANAUME wawili waliachiliwa huru na mahakama ya Italia kwa makosa ya kumbaka mwanamke, baada ya majaji kuamua...
- by adminleo
- March 3rd, 2019
Furaha kijijini aliyefungwa miaka 10 kwa ubakaji akirejea
NA GEORGE MUNENE VIFIJO na nderemo zilitanda Jumamosi katika kijiji cha Muthani, Kaunti ya Embu, mfungwa aliyekamilisha kifungo cha...
- by adminleo
- February 21st, 2019
Mswada kielelezo watua bungeni wabakaji wakatwe uume
Na CHARLES WASONGA MUUNGANO wa wabunge wa kike kutoka jamii za wafugaji sasa unapendekeza kuwa sheria kuhusu dhuluma za kimapenzi...
- by adminleo
- January 31st, 2019
Ombaomba akamatwa kwa kubaka mama msamaria mwema
MASHIRIKA Na PETER MBURU MWANAUME aliyejifanya hana pa kuishi nchini Uingereza na kuishi maisha ya kuombaomba alikamatwa na polisi,...
- by adminleo
- January 7th, 2019
Jela maisha kwa kubaka mtoto aliyetumwa jiko la kupika chapati
Na RICHARD MUNGUTI MWANAUME wa umri wa makamo aliyemzuilia msichana aliyetumwa na mama yake kumuomba jiko la makaa wakapike chapati kisha...
- by adminleo
- January 7th, 2019
Familia yataka haki baada ya msichana kubakwa na kukatwa nyeti zake
Na George Odiwuor FAMILIA moja mjini Homa Bay, inatafuta haki kwa msichana wao mwenye umri wa miaka 13 aliyebakwa na wanaume wawili...
- by adminleo
- December 27th, 2018
Mfanyakazi alivyombaka binti wa waziri hotelini
Na ERIC MATARA MWANAMUME aliyedaiwa kumnajisi binti wa waziri mwenye umri wa chini ya miaka 18, Alhamisi alishtakiwa katika Mahakama ya...
- by adminleo
- December 17th, 2018
Hofu baada ya ajuza kubakwa na kuuawa
Na STEVE NJUGUNA WAKAZI wa mtaa wa mabanda wa Maina, mjini Nyahururu, kaunti ya Laikipia Jumapili walipigwa na butwaa baada nyanya wa...
- by adminleo
- December 10th, 2018
Mshukiwa wa ubakaji wa Sudan Kusini kuona cha mtema kuni Uganda
Na RICHARD MUNGUTI RAIA wa Sudan kusini alipelekwa nchini Uganda kushtakiwa kwa ubakaji baada ya kutorokea nchini Kenya Oktoba 12. Hakimu...
- by adminleo
- November 28th, 2018
54%: Polisi waliongoza kwa ubakaji uchaguzi mkuu wa 2017 – KNCHR
Na PETER MBURU MAAFISA wa usalama nchini walikuwa mstari wa mbele kutekeleza unyama wa dhuluma za kingono wakati na baada ya uchaguzi mkuu...
- by adminleo
- November 16th, 2018
Wakili Mholanzi anayeshtakiwa kubaka wasichana atupwa rumande
Na RICHARD MUNGUTI RAIA wa Uholanzi aliyefikishwa mahakamani Ijumaa kujibu mashtaka ya kuwabaka wasichana wa umri mdogo aliokuwa...
- by adminleo
- November 2nd, 2018
Mholanzi kizimbani kwa kulawiti watoto, wakili amhepa kortini
Na RICHARD MUNGUTI RAIA wa Uholanzi alifikishwa mahakamani Ijumaa kujibu mashtaka ya kuwabaka wasichana wa umri mdogo aliokuwa anafadhili...