Tag: uchaguzi
- by adminleo
- August 8th, 2019
Hapa ulafi tu, miaka miwili tangu uchaguzi mkuu
Na VALENTINE OBARA MNAMO Agosti 8, 2017, mamilioni ya Wakenya walikosa kulala na kuvumilia baridi kali ya asubuhi na jua kali mchana...
- by adminleo
- August 1st, 2019
Afisi za upinzani zapakwa kinyesi uchaguzi ukinukia
Na MASHIRIKA ZAIDI ya afisi 10 za chama kikuu cha upinzani nchini Burundi zimepakwa kinyesi cha binadamu na zingine kuteketezwa ndani ya...
- by adminleo
- May 19th, 2019
Mutharika kwenye mtihani Malawi ikichagua Rais
NA MASHIRIKA WAPIGAKURA nchini Malawi Jumanne wanatarajiwa kuingia debeni na kumchagua Rais mpya huku ushindani mkali ukitarajiwa kati...
- by adminleo
- May 15th, 2019
Sababu za chaguzi nchini Kenya kuwa ghali
Na CHARLES WASONGA CHAGUZI nchini Kenya hugharimu pesa nyingi ikilinganishwa na mataifa jirani kwa sababu ya tabia ya Wakenya ya...
- by adminleo
- April 25th, 2019
KANU na Jubilee, nani jogoo uchaguzi mdogo Wajir?
Na GRACE GITAU na JOSEPH WANGUI VYAMA vya KANU na Jubilee vinatarajiwa kupambana katika uchaguzi mdogo wa ubunge unaofanyika Alhamisi...
- by adminleo
- April 16th, 2019
IEBC yatuma wawakilishi katika uchaguzi wa wanachuo wa Egerton
NA RICHARD MAOSI Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Egerton, Jumanne walishiriki katika shughuli ya kuchagua viongozi wao katika bewa kuu eneo...
- by adminleo
- April 7th, 2019
ODM kutolewa pumzi ishara ya kufifia kwa ‘Baba’
CHARLES WASONGA na BENSON MATHEKA LICHA ya kujipiga kifua na kujigamba kuwa ingetwaa ushindi mkubwa katika uchaguzi mdogo wa maeneobunge...
- by adminleo
- April 4th, 2019
Embakasi na Ugenya tayari kuchagua Wabunge wapya
NA CECIL ODONGO WAPIGAKURA katika maeneobunge ya Embakasi Kusini na Ugenya Ijumaa wanatarajiwa kumiminika katika vituo mbalimbali vya...
- by adminleo
- April 3rd, 2019
Uchaguzi: ODM na Wiper tayari kumenyana Embakasi
RUSHDIE OUDIA na WANDERI KAMAU WAPIGAKURA katika maeneobunge ya Embakasi Kusini na Ugenya watawachagua wabunge wapya Ijumaa kwenye...
- by adminleo
- April 3rd, 2019
TAHARIRI: Raia wachague viongozi wanaofaa
NA MHARIRI UCHAGUZI mdogo katika maeneo ya Ugenya na Embakasi Kusini utafanyika kesho ambapo wapiga kura maeneo hayo wanatarajiwa...
- by adminleo
- February 13th, 2019
DEMOKRASIA: Wamiliki wa tuktuk waifunza IEBC jinsi ya kusimamia uchaguzi
Na SAMMY WAWERU KATIKA kila mwaka wa uchaguzi mkuu nchini Kenya, tumeshuhudia mizozo ya hapa na pale huku Tume Huru ya Uchaguzi na...
- by adminleo
- October 13th, 2018
MIGORI: Ayacko kutolewa jasho na limbukeni wa miaka 27 ni ishara kuwa Raila ameisha makali
Na CHARLES WASONGA JAPO ilitarajiwa kuwa mgombeaji wa chama cha ODM Ochilo Ayacko angeibuka mshindi katika uchaguzi mdogo wa useneta wa...