Tag: uchumi
- by T L
- November 26th, 2021
JUMA NAMLOLA: Ni kazi bure kuahidi kuimarisha uchumi bila ya kudhibiti ufisadi
Na JUMA NAMLOLA WIKI hii hapa katika meza ya habari ya Taifa Leo tuliangazia mambo amabyo wanasiasa wote waliojitokeza kutamani uraia...
Safaricom ilichangia Sh557 bilioni kwa pato la taifa – Ripoti
Na LEONARD ONYANGO KAMPUNI ya Safaricom ilichangia asilimia 5.2 ya pato la taifa (GDP) katika mwaka wa matumizi ya fedha wa...
Muungano wa kaunti umekufa
Na Barnabas Bii MUUNGANO wa kiuchumi wa kaunti za Kaskazini mwa Bonde la Ufa (NOREB), uliopigiwa upatu kubadilisha chumi za eneo hilo,...
2020: Waliong’aa na kugusa Wakenya kwa njia ya kipekee
Na BENSON MATHEKA INGAWA mwaka huu umekuwa mgumu kwa Wakenya, kuna waliong'ara katika nyanja mbalimbali na kugusa wengi kwa kuonyesha...
Uhuru awaruka Wakenya kuhusu ushuru nafuu
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta Jumatatu aliruka ahadi yake kwa Wakenya kuwa ushuru wa VAT ungesalia asilimia 14 hadi Juni 30...
Huenda aina mpya ya corona ikazimisha uchumi wa dunia
WANDERI KAMAU Na BENSON MATHEKA HALI ya wasiwasi imetanda duniani kufuatia kuchipuka kwa aina mpya ya virusi vya corona, ambavyo...
Corona inavyoumiza wafugaji wa kuku
Na KEVIN ROTICH Kabla kuzuka kwa janga la virusi vya corona, biashara ya kuku ilinoga sana nchini ikilinganishwa na hali ilivyo sasa....
Java yawaomba wafanyakazi wajiuzulu kwa hiari
NA WANGU KANURI Mkahawa wa Java wenye afisi zake kuu jijini Nairobi umewapa wafanyikazi wake notisi ya kujiuzulu kwa hiari kabla ya...
LUCY DAISY: Serikali ielewe uchumi umezorota, iwaruhusu wanawake fursa wachuuze bidhaa
Na LUCY DAISY NCHINI Kenya, kuna wanawake wengi sana ambao hawana namna ya kujipatia riziki. Hawana kazi ilhali wana watoto na familia...
- by adminleo
- June 5th, 2020
Nyanya na vitunguu ghali zaidi, viazi na karoti zashuka bei
NA CHARLES MWANIKI BEI ya vyakula imepanda kwa asilimia 10.6 katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita, ikilinganishwa na asilimia 11.6...
- by adminleo
- May 28th, 2020
Huenda asilimia 75 ya kampuni zikafungwa Juni – CBK
NA FAUSTINE NGILA HALI ya uchumi nchini inazidi kudorora kutokana na makali ya janga la Covid-19, huku serikali ikionya huenda Wakenya...
- by adminleo
- May 24th, 2020
Mabilioni yatengwa kunyanyua uchumi
NA MWANDISHI WETU RAIS Uhuru Kenyatta ametangaza juhudi atakazoweka ili kufufua uchumi wa nchi. Mikakati hiyo itahusisha mabilioni ya...