Tag: usalama
- by adminleo
- October 23rd, 2019
Usalama kuimarishwa msimu wa shamrashamra
Na LAWRENCE ONGARO USALAMA utaimarishwa vilivyo msimu huu ambapo shamrashamra za Krismasi Desemba na Mwaka Mpya zinanukia, ili kulinda...
- by adminleo
- September 27th, 2019
Wakazi wa Gatundu wahakikishiwa usalama wao
Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa Gatundu Kusini wamepewa hakikisho kuwa usalama wao utaimarishwa na kuwa kama zamani. Wiki moja iliyopita...
- by adminleo
- August 6th, 2019
20 wajeruhiwa Mandera katika ajali ya barabara usiku
Na MANASE OTSIALO WATU 20 walijeruhiwa na kulazwa katika Hospitali ya Kaunti ya Mandera baada ya basi walilokuwa wameabiri kupata ajali...
- by adminleo
- May 16th, 2019
Matiang’i aahidi kumaliza genge la mauaji eneo la Matungu
Na MWANGI MUIRURI WAZIRI wa Usalama wa Ndani, Dkt Fred Matiang’i amefichua Alhamisi kuwa mshirikishi wa mauaji ya kikatili katika eneo...
- by adminleo
- January 3rd, 2019
Boinnet ateua makamanda wapya wa maeneo manane
Na BENSON MATHEKA Inspekta Jenerali wa polisi, Joseph Boinnet, ameteua wakuu wapya wanane wa polisi katika juhudi za kuimarisha usalama...
- by adminleo
- August 21st, 2018
Idd-ul-Adha: Usalama waimarishwa Lamu
NA KALUME KAZUNGU USALAMA umeimarishwa katika kisiwa cha Lamu na maeneo yote ya mpakani mwa Lamu na Somalia wakati huu ambapo waumini...
- by adminleo
- May 15th, 2018
KAPEDO: Uhalifu wasababisha upungufu wa chakula
Na SAMMY LUTTA WAKAZI wa maeneo ya Kapedo na Lomelo katika Kaunti ya Turkana wamelazimika kutegemea chakula cha msaada kutokana na...
- by adminleo
- April 2nd, 2018
Wakazi wakejeli maafisa kushindwa kuwakamata wahalifu
[caption id="attachment_3971" align="aligncenter" width="800"] Ahmed Omar akilalamika juu ya idadi kubwa ya wahalifu wanaozidi kuwakosesha...
- by adminleo
- April 2nd, 2018
Watalii wafurika Lamu kusherehekea Pasaka
NA KALUME KAZUNGU WATALII wanaendelea kufurika kisiwani Lamu kwa maadhimisho ya sherehe za Pasaka. Kufikia sasa idara ya utalii ya Lamu...
- by adminleo
- March 12th, 2018
Wakazi Mlima Elgon wataka kafyu ya siku 90 iondolewe
Na DENNIS LUBANGA WAKAZI katika eneo la Mlima Elgon, Kaunti ya Bungoma sasa wanaitaka Serikali kuondoa kafyu ya siku 90 ambayo imewekwa...
- by adminleo
- March 12th, 2018
BODABODA: Kizingiti kikuu cha hali ya usalama nchini
CHARLES WASONGA na TITUS OMINDE PIKIpiki za uchukuzi wa abiria, maarufu, boda boda, hupendwa na watu wengi nchini kutokana na kutokana...
- by adminleo
- February 28th, 2018
Serikali yaahidi kukomesha ugaidi unaovuruga elimu Wajir
Na WANDERI KAMAU SERIKALI Jumatano ilisema imebuni mpango ambao utahakikisha kwamba shughuli za masomo hazitaathiriwa katika Kaunti ya...