Tag: utapeli
Taabani kwa kuuza vifaa feki vya kupima Ukimwi
Na RICHARD MUNGUTI WAFANYABIASHARA watatu Jumatatu walifikishwa kortini wakikabiliwa na mashtaka kuuza vifaa feki vya kupima...
Tapeli mkubwa wa Showbiz Wilkins Fadhili acheza kama yeye tena
NA TOM MATIKO WAKATI mwingine mimi hushindwa kuelewa kabisa Wakenya tunaishi katika sayari ipi. Juzi tena kumezuka stori kuhusu tapeli...
- by adminleo
- February 24th, 2020
Mzungu alia kutapeliwa na mwanamke Mkenya
Na BRIAN OCHARO RAIA mwanamume wa Uingereza amelalamikia jinsi mwanamke Mkenya alivyomfilisi na kumwacha fukara. Kupitia kesi...
- by adminleo
- January 1st, 2020
200 watapeliwa maelfu kupitia jina la Naibu Rais
Na WAWERU WAIRIMU WAKAZI zaidi ya 200 kutoka Isiolo wanakadiria hasara baada ya kutapeliwa na mwanamme aliyewaahidi kuwasaidia kukutana...
- by adminleo
- October 3rd, 2019
Watapeli kwa jina la Rais
Na DAVID MWERE AFISI ya Rais imelalamika vikali kwamba wanasiasa, wafanyibiashara, makatibu wa wizara na maafisa wengine wa umma...
- by adminleo
- May 23rd, 2019
Ruto abainisha ni kwa msingi upi anaweza kuunga mkono kura ya maamuzi ya Katiba
Na MWANGI MUIRURI NAIBU Rais, William Ruto Alhamisi amesema kuwa hataunga mkono wito unaotolewa kutaka kubadilisha Katiba ikiwa nia kuu...
- by adminleo
- October 22nd, 2018
Mbinu mpya ya wizi inayotumiwa na wanawake wanaojifanya wajawazito
Na RICHARD MUNGUTI KUNA genge la majambazi wanawake wanaojifanya ni wajawazito na kuwapora wananchi jijini Nairobi. Wanachama wa genge...
- by adminleo
- October 16th, 2018
Raia wa Uganda kizimbani kwa kuwatapeli Wakenya mamilioni
Na RICHARD MUNGUTI RAIA wa Uganda Jumanne alishtakiwa kwa kuwalaghai wafanyabiashara wa Kenya Sh12.3 milioni akidai atawawekezea katika...
- by adminleo
- April 3rd, 2018
Aliyejifanya Sabina Chege kuwatapeli wabunge kupimwa akili
Na RICHARD MUNGUTI MWANAUME aliyekamatwa wikendi kwa madai ya kutumia jina la Mbunge Mwakilishi wa Wanawake Kaunti ya Murang’a, Bi...
- by adminleo
- March 28th, 2018
Diwani akanusha mashtaka 6 ya ulaghai Murang’a
[caption id="attachment_3747" align="aligncenter" width="800"] Diwani kutoka kaunti ya Murang’a Peter Mburu Muthoni almaarufu Soloman...