• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 9:01 PM

JAMVI: Siasa fiche za Waiguru, Kibicho kuhusiana na Kemri

Na WANDERI KAMAU MVUTANO mkali unatokota kati ya Gavana Anne Waiguru wa Kirinyaga na Katibu wa Wizara ya Usalama Dkt Karanja Kibicho,...

Waiguru amezea mate cheo cha juu

Na NDUNGU GACHANE GAVANA Anne Waiguru wa Kirinyaga ameeleza nia ya kutaka kushikilia mojawapo ya nyadhifa kubwa katika serikali ijayo,...

Gavana Kamotho motoni kwa kutaka kumrithi Uhuru

NDUNG'U GACHANE, DPPS Na CHARLES WASONGA GAVANA Anne Mumbi Kamotho wa Kirinyaga amejipata motoni kwa kuchukua kazi ya Rais Uhuru...

Kesi ya Karua dhidi ya Gavana Kamotho yagonga mwamba

Na RICHARD MUNGUTI JUHUDI za kiongozi wa chama cha Narc-Kenya Bi Martha Karua za kumng’oa mamlakani Gavana wa Kirinyaga Anne Mumbi...

Nitatetea kiti changu 2022 – Gavana Mumbi Kamotho

NA SAMMY WAWERU Naibu Rais Dkt William Ruto amekuwa akihimizwa kuteua mgombea mwenza kutoka eneo la Mlima Kenya ili kufanikisha azma...

WANDERI: Vijana tulizeni boli, ndoa ni safari ndefu!

Na WANDERI KAMAU HAFLA ya kufana ya harusi kati ya Gavana wa Kirinyaga, Bi Ann Waiguru na wakili Kamotho Waiganjo inapaswa kutufunza...

Wakati ukitimia njoo Pumwani ujifungue bila malipo, Sonko aambia Waiguru

Na PETER MBURU HATA kabla ya saa 24 kukamilika baada ya Gavana wa Kirinyaga Anne Waiguru kufunga ndoa na wakili Kamotho Waiganjo, Gavana...

Harusi ya mwaka

Na GEORGE MUNENE na WANDERI KAMAU HATIMAYE Gavana Anne Waiguru wa Kirinyaga, alifanya harusi ya kukata na shoka na wakili Kamotho...

JAMVI: Waiguru anavyopanga karata yake kwa 2022

Na BENSON MATHEKA Kujitolea kwa Gavana wa Kirinyaga, Anne Waiguru, kupatanisha makundi ya Tanga Tanga na Kieleweke katika eneo la Mlima...

Hisia mseto tarehe ya Gavana Waiguru kuolewa ikikaribia

Na MWANGI MUIRURI WAKAZI wa Kaunti ya Kirinyaga, watumiaji wa mitandao ya kijamii pamoja na viongozi kutoka maeneo mbalimbali nchini...

Nipeni ruhusa nipatanishe Mlima Kenya – Waiguru

Na NDUNGU GACHANE GAVANA wa Kaunti ya Kirinyaga, Bi Anne Waiguru amejitolea kupatanisha viongozi wa Mlima Kenya ambao wamegawanyika...

Waiguru na Wamatangi watiana kucha bungeni

Na PETER MBURU GAVANA wa Kirinyaga Bi Anne Waiguru Jumatatu walijibizana na seneta wa Kiambu Kimani Wamatangi wakati alipofika mbele ya...