Tag: wetang’ula
- by adminleo
- April 8th, 2019
Wameingia ‘box’ ya Jubilee?
Na MWANDISHI WETU KIONGOZI wa ANC Musalia Mudavadi na mwenzake wa Ford-Kenya Moses Wetangula wameonekana kumezwa na Serikali ya Rais...
- by adminleo
- April 7th, 2019
JAMVI: Je, Uhuru amenasa Mudavadi na Weta?
PETER MBURU na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta sasa anaoenekana kudhibiti viongozi wote wa upinzani baada ya kuonekana kufaulu...
- by adminleo
- August 22nd, 2018
Risasi mazishini ililenga kuniangamiza – Wetang’ula
Na WAANDISHI WETU POLISI wanachunguza madai kwamba Seneta wa Bungoma, Bw Moses Wetang'ula ndiye aliyekuwa akilengwa na risasi...
- by adminleo
- August 1st, 2018
Mwana mpotevu atarudi nyumbani?
Na BENSON MATHEKA Kiongozi wa chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka, Jumanne alikutana na kinara mwenza wa NASA, Moses Wetangula, katika...
- by adminleo
- June 5th, 2018
Mudavadi na Weta watakiwa kujiunga na Jubilee
Na CHARLES WASONGA WABUNGE wa Jubilee kutoka magharibi mwa Kenya wamewataka vinara wa NASA Musalia Mudavadi na Moses Wetang'ula...
- by adminleo
- May 31st, 2018
Kalonzo, Mudavadi na Weta wapinga kubuniwa kwa jopo la kuzima ufisadi
Na VALENTINE OBARA VINARA watatu wa Muungano wa NASA wamejitenga na msimamo wa mwenzao Raila Odinga, kuhusu vita dhidi ya...
- by adminleo
- May 29th, 2018
Wetang’ula atisha kutoboa siri zote za Raila Odinga
Na PATRICK LANG'AT KIONGOZI wa Ford-Kenya Moses Wetang’ula ametisha kuanika hadharani siri za kiongozi wa ODM Raila Odinga iwapo...
- by adminleo
- April 11th, 2018
Orengo aanza kazi huku Wetang’ula akilia
Na VALENTINE OBARA SENETA wa Siaya, Bw James Orengo, Jumatano ameanza kuchapa kazi kwenye afisi ya kiongozi wa wachache katika seneti huku...
- by adminleo
- April 11th, 2018
Masaibu ya Weta ni mwiba wa kujidunga – Raila
Na VALENTINE OBARA KIONGOZI wa Chama cha Ford Kenya, Bw Moses Wetang’ula, ametakiwa akome kumlaumu mwenzake wa Chama cha ODM, Bw Raila...
- by adminleo
- March 26th, 2018
Viongozi wa kidini: Weta na Mudavadi wakomeshe siasa za ukabila
Na JUSTUS OCHIENG' VIONGOZI wa dini eneo la Nyanza wamewalaumu vinara wawili wa Nasa- Musalia Mudavadi na Moses Wetenga’ula kwa...
- by adminleo
- March 26th, 2018
Sitaki kiti chenu, nitawapa dawa yenu, Weta aiambia ODM
Na WYCLIFF KIPSANG Kwa ufupi: Bw Wetang'ula asema hatahudhuria kongamano la maseneta la kujadili na kutatua masuala yanayotisha...
- by adminleo
- March 25th, 2018
Weta na Mudavadi waapa kusambaratisha ndoa ya Uhuru na Raila
Na DERRICK LUVEGA na JUSTUS OCHIENG’ Kwa ufupi: Mudavadi asema Raila ni msaliti na kama jamii ya Waluhya inafaa kuepukana kabisa...