Tag: wizi
- by adminleo
- June 19th, 2019
Mshukiwa wa wizi Zimmerman anusurika kifo
Na SAMMY WAWERU MWANAMUME mshukiwa wa wizi eneo la Zimmerman, Nairobi, Jumanne jioni aliponea tundu la sindano kuuawa na umma wenye...
- by adminleo
- June 10th, 2019
Dhamana ya Sh1m kwa kuiba simu na ‘kufuliza’ Sh150,000
Na JOSEPH WANGUI MWANAMUME aliyeshtakiwa kwa madai ya kuiba simu za watu wanaovinjari vilabuni na kutumia laini zao kukopa pesa kutoka...
- by adminleo
- June 5th, 2019
Wakuu wa Oil Libya wakana kuiba Sh1.5m
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu iliamuru wafanyakazi wakuu watano wa kampuni ya kuuza mafuta ya Oil Libya Kenya Limited washtakiwe kwa...
- by adminleo
- February 7th, 2019
Wezi watumia mabomba ya kinyesi kuiba hela benki
MASHIRIKA Na PETER MBURU WEZI nchini Ubelgiji walishangaza taifa na ulimwengu baada ya kutumia mitaro na mabomba ya maji taka na kinyesi...
- by adminleo
- February 6th, 2019
WIZI WA KISHENZI: Mwanamume anaswa akiiba gurudumu ofisi za DCI
Na PETER MBURU MAAFISA wa polisi katika Idara ya Upelelezi wa makosa ya Jinai (DCI) Jumanne walimkamata mwanaume ambaye alipatikana...
- by adminleo
- January 23rd, 2019
Siwezi kuiba mamilioni ya mteja wangu, wakili ajitetea
Na RICHARD MUNGUTI WAKILI alishtakiwa Jumatatu kwa kumwibia mteja wake Sh6.5 milioni alizopokea kwa kuuza shamba. Bw Simon Shivaji...
- by adminleo
- August 17th, 2018
Akanusha mashtaka ya kuiba mamilioni
Na RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA alishtakiwa Ijumaa kwa kuibia benki iliyotiwa chini ya msimamizi ya Dubai (DBK) Sh159 milioni. Bw Zein...
- by adminleo
- July 31st, 2018
Aliyeibia mamaye aponde raha na mchumba asukumwa ndani
Na RICHARD MUNGUTI MWANACHUO aliyeiba pesa za mama yake kuzitumia akiwa na mpenziwe kuponda raha ameamriwa awekwe chini ya uangalizi wa...
- by adminleo
- July 31st, 2018
Wakili augua ghafla kizimbani kabla ya kusomewa shtaka la wizi
Na RICHARD MUNGUTI WAKILI anayekabiliwa na shtaka la kuwmibia mteja wake Sh4 milioni aliugua ghafla akiwa kizimbani na kuomba kesi...
- by adminleo
- July 24th, 2018
Kasisi motoni kwa kupora wanawake Sh1.3 milioni
Na RICHARD MUNGUTI MSHUKIWA aliyejitambulisha kwa kikundi cha kina mama kuwa Kasisi wa kanisa la Kianglikana na kupokea zaidi ya...
- by adminleo
- June 22nd, 2018
Wawili washtakiwa kuiba Sh5 milioni
Na RICHARD MUNGUTI WAFANYAKAZI wawili walishtakiwa kwa wizi wa Sh5 milioni Ijumaa. Mabw Jacob Kirimi Nkando na James Kyalo Kiema...
- by adminleo
- June 21st, 2018
Mlima wa nakala za ushahidi kwenye kesi ya wizi NYS
Na RICHARD MUNGUTI HAKIMU anayesikiza kesi ya ufisadi dhidi ya washukiwa 41 wa sakata ya shirika la huduma ya vijana kwa taifa NYS...