Tag: wizi
- by adminleo
- June 15th, 2018
Wezi wa ng’ombe wauawa na umma wakiiba nyati
Na GEOFFREY ANENE WEZI wawili sugu wa ng’ombe walipigwa na umma hadi kufa kwa madai ya kujaribu kuiba nyati katika kijiji cha Bankatti,...
- by adminleo
- June 13th, 2018
Sikuiba Sh12 milioni, mzee ajitetea kizimbani
Na RICHARD MUNGUTI MZEE mwenye umri wa miaka 72 alishtakiwa Jumanne kwa ulaghai wa Sh12 milioni. Bw Kuldip Singh Jandu alikanusha...
- by adminleo
- June 12th, 2018
Genge laiba ng’ombe 8 na kuwachinja kwa mochari
NA PETER MBURU POLISI mjini Nakuru wanawawinda genge la majambazi ambalo usiku wa kuamkia Jumanne liliiba ng'ombe wanane kutoka shamba...
- by adminleo
- May 31st, 2018
Jambazi ataka fidia ya Sh270 milioni kwa kupigwa risasi akiiba
Na MASHIRIKA BROOKLYN, AMERIKA JAMBAZI aliyepigwa risasi na mwenye duka alipopatikana peupe akipora duka la mvinyo, anataka alipwe ridhaa...
- by adminleo
- May 31st, 2018
SAKATA YA NYS: Washukiwa 24 kusalia ndani kwa siku 7
Na BENSON MATHEKA WASHUKIWA 24 wa sakata ya wizi wa mabilioni kutoka Shirika la Vijana wa Huduma kwa Taifa (NYS) watakaa seli kwa...
- by adminleo
- May 31st, 2018
Kijana wa miaka 21 kunyongwa kwa kuiba Sh200
Na BENSON MATHEKA MWANAMUME mwenye umri wa miaka 21, Jumatano alihukumiwa kunyongwa kwa kutumia nguvu kumnyang’anya mwanamke kibeti...
- by adminleo
- May 31st, 2018
Tutatwaa mabilioni yote ya wizi, aahidi Uhuru
Na VALENTINE OBARA WASHUKIWA wa ufisadi watakaopatikana na hatia watapokonywa mali zote walizojizolea kutokana na uporaji wa mali ya...
- by adminleo
- May 29th, 2018
SAKATA YA NYS: Wakenya watamauka wakisema washukiwa watajinasua kama kawaida
Na VALENTINE OBARA Kwa ufupi: Wakenya wasema wamezoea kuona wahusika kwenye wizi wa mabilioni ya pesa za umma katika miaka ya awali...
- by adminleo
- May 29th, 2018
SAKATA YA NYS: Orodha kamili ya samaki wote waliovuliwa katika ziwa la ufisadi
Na VALENTINE OBARA KUFUATIA sakata ya NYS ambapo Sh9 bilioni zilitoweka katika hali isiyoeleweka, idara ya upelelezi ikishirikiana na...
- by adminleo
- May 28th, 2018
SAKATA YA NYS: Orodha ya washukiwa waliokamatwa Jumatatu
FAUSTINE NGILA na STELLA CHERONO MAAFISA wa upelelezi Jumatatu asubuhi wamekuwa mbioni kuwakata washukiwa washukiwa wakuu wa wizi wa...
- by adminleo
- May 28th, 2018
Waliotafuna mabilioni ya NYS kuanza kukamatwa
Na VALENTINE OBARA WAHUSIKA wakuu kwenye sakata ya ufisadi katika shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS) wanatarajiwa kuanza...
- by adminleo
- May 26th, 2018
Mshukiwa wa wizi wa mamilioni atokwa na jasho ajabu kizimbani
Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa kampuni mbili anayekabiliwa na shtaka la wizi wa Sh76 milioni aliamriwa apelekwe hospitali baada ya...