• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 10:50 AM
DARUBINI YA UKWELI: IEBC ndiyo hudhibiti Sajili ya Wapigakura

DARUBINI YA UKWELI: IEBC ndiyo hudhibiti Sajili ya Wapigakura

MWANIAJI urais wa muungano wa Azimio-One Kenya, Raila Odinga na Naibu Rais William Ruto wamekuwa wakijibizana vikali kuhusu madai ya wizi wa kura kwenye uchaguzi wa Agosti.

Majuzi, Dkt Ruto alidai kuwa Bw Odinga ameingilia Sajili Kuu ya Wapigakura katika Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), kauli aliyopinga Odinga. Awali, Bw Odinga aliwahi kutoa matamshi kama hayo.

Ukweli ni kuwa kulingana na sheria, hakuna mrengo wala kiongozi yeyote wa kisiasa mwenye mamlaka kuingilia au kulainisha sajili hiyo, isipokuwa IEBC.

Uamuzi: Madai hayo hayana msingi wowote kwani IEBC ndiyo husimamia na kulainisha Sajili ya Wapigakura

  • Tags

You can share this post!

Wanawake wanadandia wanasiasa ‘kupata riziki’

Korti yabatilisha uamuzi kuhusu bondi ya Sh300,000

T L