• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 9:37 AM
Himizo wafuasi wa ODM wajiandikishe kushiriki mchujo

Himizo wafuasi wa ODM wajiandikishe kushiriki mchujo

Na GEORGE ODIWUOR

ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi Evans Kidero (pichani), amewahimiza wakazi wa Homa Bay kujiandikisha kwa wingi kuwa wanachama wa ODM ili wakubaliwe kushiriki katika kura za mchujo za chama hicho Aprili.

Dkt Kidero ambaye alikuwa akiendesha kampeni za kutoa uhamasisho kuhusu uchaguzi, alisema katika miaka ya nyuma wananchi wamekuwa wakikangayikiwa wasijue la kufanya wakati wa kupiga kura.

You can share this post!

Nyaribo ajiunga na UPA baada ya kutema Mudavadi

Vita vya magavana, Kalonzo pigo kwa Raila Ukambani

T L