NA FARHIYA HUSSEIN
MKUTANO wa wajumbe wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) uliokuwa umeratibiwa kufanyika jijini Mombasa leo Jumamosi umesitishwa baada ya wafuasi wa mbunge wa Nyali Mohammed Ali ‘Jicho Pevu’ na wa mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) Hassan Omar Sarai.
Imebidi maafisa wa polisi kuwatawanya kwa kutumia gesi ya kuwatoa machozi.
Mkutano huo ulifaa kuongozwa na Katibu Mkuu wa UDA Cleophas Malala.
Kwa sasa Bw Ali anahutubia wanahabari.