• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 9:55 AM
Wafuasi wa Jicho Pevu wakabiliana na wenzao wa Hassan Omar

Wafuasi wa Jicho Pevu wakabiliana na wenzao wa Hassan Omar

NA FARHIYA HUSSEIN

MKUTANO wa wajumbe wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) uliokuwa umeratibiwa kufanyika jijini Mombasa leo Jumamosi umesitishwa baada ya wafuasi wa mbunge wa Nyali Mohammed Ali ‘Jicho Pevu’ na wa mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) Hassan Omar Sarai.

Imebidi maafisa wa polisi kuwatawanya kwa kutumia gesi ya kuwatoa machozi.

Mbunge wa EALA Hassan Omar akishuhudia vurumai zilizotokea wakati wa mkutano wa UDA jijini Mombasa mnamo Juni 24, 2023. PICHA | KEVIN ODIT

Mkutano huo ulifaa kuongozwa na Katibu Mkuu wa UDA Cleophas Malala.

Kwa sasa Bw Ali anahutubia wanahabari.

Mbunge wa Nyali Mohammed Ali ‘Jicho Pevu’ akihutubia wafuasi wake mnamo Juni 24, 2023. PICHA | KEVIN ODIT
  • Tags

You can share this post!

Amerika kuwa mwenyeji wa kipute kilichopanuliwa cha Klabu...

Mapinduzi ndani ya Jubilee ni haramu – Kioni

T L