• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 5:50 AM

China kuchanganya chanjo mbalimbali kukabili corona

NA AP CHINA inapanga kuchanganya chanjo zake za kukabili virusi vya corona na chanjo kutoka nchi zingine ili kuimarisha ubora...

Mbunge ataka sheria ya kudhibiti nchi kufungwa

OSBORN MANYENGO na VALENTINE OBARA MBUNGE wa Soy, Bw Caleb Kositany, amependekeza kuwe na sheria itakayodhibiti jinsi serikali...

Tutafungiwa iwapo hamtatii – Mandago

Na TITUS OMINDE WAKAZI wa Kaunti ya Uasin Gishu watafungiwa ili wasitoke eneo hilo iwapo wataendelea kupuuza sheria za kukabiliana na...

ODM yasema Raila amepona corona

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM sasa yuko salama baada ya vipimo vya hivi punde kubaini kuwa hana amepona Covid-19. Habari hizo...

Hii kafyu inaumiza wananchi – Kalonzo

Na MWANGI MUIRURI KINARA wa Wiper Democratic Movement amemtaka Rais Uhuru Kenyatta awajibikie utathimini upya kwa upana mikakati...

Serikali yazima matumaini ya michezo kurejelewa

Na MWANGI MUIRURI SERIKALI imepuuzilia mbali habari za awali kuwa kuna uwezekano wa michezo kuerjelewa humu nchini, iksema masharti ya...

Hatimaye Ruto apokea chanjo ya corona

Na SAMMY WAWERU NAIBU wa Rais Dkt William Ruto na mke wake, Mama Rachael Ruto Jumanne walijiunga na orodha ya viongozi wakuu serikalini...

Corona ilivyoyasukuma makanisa kuchangamkia teknolojia

Na MWANGI MUIRURI Athari za ugonjwa hatari wa Covid-19 zimechangia kusukuma makanisa hadi kukumbatia Tenknolojia za kimawasiliano (IT)...

China yaanza kutoa chanjo ya Covid-19 kwa wageni wa mataifa mbalimbali

Na MASHIRIKA OFISI ya mambo ya kigeni jijini Beijing imesema Beijing imeanza kuwapa wageni wa mataifa mbalimbali chanjo ya...

MUTUA AMTIA UHURU PRESHA

BENSON MATHEKA Na PIUS MAUNDU Wakenya wamemtaka Rais Uhuru Kenyatta kuiga mfano wa Gavana wa Machakos Alfred Mutua kwa kuwapatia afueni...

Mshtuko huku corona ikiua maafisa 5 wa kaunti

Na COLLINS OMULO WIMBI la tatu la ugonjwa wa Corona limeathiri pakubwa kaunti ya Nairobi ambapo wafanyakazi watano walipoteza maisha yao...

Aina hatari ya corona imetua nchini – Kagwe

Na BENSON MATHEKA Waziri wa Afya, Mutahi Kagwe, amekiri kwamba visa vya maambukizi ya aina mpya hatari ya corona iliyogunduliwa Afrika...