Tag: Corona
China kuchanganya chanjo mbalimbali kukabili corona
NA AP CHINA inapanga kuchanganya chanjo zake za kukabili virusi vya corona na chanjo kutoka nchi zingine ili kuimarisha ubora...
Mbunge ataka sheria ya kudhibiti nchi kufungwa
OSBORN MANYENGO na VALENTINE OBARA MBUNGE wa Soy, Bw Caleb Kositany, amependekeza kuwe na sheria itakayodhibiti jinsi serikali...
Tutafungiwa iwapo hamtatii – Mandago
Na TITUS OMINDE WAKAZI wa Kaunti ya Uasin Gishu watafungiwa ili wasitoke eneo hilo iwapo wataendelea kupuuza sheria za kukabiliana na...
ODM yasema Raila amepona corona
Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM sasa yuko salama baada ya vipimo vya hivi punde kubaini kuwa hana amepona Covid-19. Habari hizo...
Hii kafyu inaumiza wananchi – Kalonzo
Na MWANGI MUIRURI KINARA wa Wiper Democratic Movement amemtaka Rais Uhuru Kenyatta awajibikie utathimini upya kwa upana mikakati...
Serikali yazima matumaini ya michezo kurejelewa
Na MWANGI MUIRURI SERIKALI imepuuzilia mbali habari za awali kuwa kuna uwezekano wa michezo kuerjelewa humu nchini, iksema masharti ya...
Hatimaye Ruto apokea chanjo ya corona
Na SAMMY WAWERU NAIBU wa Rais Dkt William Ruto na mke wake, Mama Rachael Ruto Jumanne walijiunga na orodha ya viongozi wakuu serikalini...
Corona ilivyoyasukuma makanisa kuchangamkia teknolojia
Na MWANGI MUIRURI Athari za ugonjwa hatari wa Covid-19 zimechangia kusukuma makanisa hadi kukumbatia Tenknolojia za kimawasiliano (IT)...
China yaanza kutoa chanjo ya Covid-19 kwa wageni wa mataifa mbalimbali
Na MASHIRIKA OFISI ya mambo ya kigeni jijini Beijing imesema Beijing imeanza kuwapa wageni wa mataifa mbalimbali chanjo ya...
MUTUA AMTIA UHURU PRESHA
BENSON MATHEKA Na PIUS MAUNDU Wakenya wamemtaka Rais Uhuru Kenyatta kuiga mfano wa Gavana wa Machakos Alfred Mutua kwa kuwapatia afueni...
Mshtuko huku corona ikiua maafisa 5 wa kaunti
Na COLLINS OMULO WIMBI la tatu la ugonjwa wa Corona limeathiri pakubwa kaunti ya Nairobi ambapo wafanyakazi watano walipoteza maisha yao...
Aina hatari ya corona imetua nchini – Kagwe
Na BENSON MATHEKA Waziri wa Afya, Mutahi Kagwe, amekiri kwamba visa vya maambukizi ya aina mpya hatari ya corona iliyogunduliwa Afrika...