• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 6:07 PM

Afueni kwa wakazi wa Machakos Gavana Mutua akiwapunguzia gharama ya maisha

Na SAMMY WAWERU IMEKUWA afueni kwa wafanyabiashara na wakazi Machakos baada ya Gavana wa Kaunti hiyo Dkt Alfred Mutua kutangaza Jumatatu...

Serikali yaonya wanaopandisha nauli kiholela

NA RICHARD MAOSI MSHIRIKISHI wa Bonde la Ufa George Natembeya ametoa onyo kali kwa sekta ya matatu , dhidi ya kuongeza nauli kiholela,...

CORONA: Viongozi wa Kiislamu wakosoa masharti ya Uhuru

Na WACHIRA MWANGI VIONGOZI wa kidini katika Kaunti ya Mombasa wametoa wito kwa Rais Uhuru Kenyatta kujadiliana nao kabla ya kuchukua...

Wazazi walia kanuni za corona zinaumiza watahiniwa wa KCSE

NA MWANGI MUIRURI Muungano wa wazazi katika Mlima Kenya Jumatatu umeteta kuhusu hatua ya serikali ya kuzima usafiri kutoka Kaunti ya...

Naibu Gavana wa Kericho Susan Kikwai afariki kutokana na corona

Na CHARLES WASONGA NAIBU Gavana wa Kericho Susan Kikwai amefariki kutokana na ugonjwa wa Covid-19 katika hospitali ya Siloam, mjini...

Mtangazaji wa zamani wa NTV afariki kutokana na corona

NA WANGU KANURI Aliyekuwa mtangazaji wa habari katika runinga yaNTV Winnie Mukami amefariki. Mukami aliaga dunia Alhamisi baada ya...

Kenya ilipoteza Sh560 billioni kutokana na corona 2020 – Rais Kenyatta

  Na SAMMY WAWERU KENYA ilikadiria hasara ya Sh560 bilioni katika ukuaji wa uchumi mwaka uliopita, 2020 kufuatia mkurupuko wa...

Uhuru amwomboleza mwanahabari aliyefariki kutokana na corona

CHARLES WASONGA na PSCU RAIS Uhuru Kenyatta ametuma risala za rambirambi kwa familia ya mwanahabari Robin Njogu ambaye alifariki...

Amri ya kusitisha mikutano yapoza joto la kisiasa

Na WAANDISHI WETU IDADI kubwa ya viongozi wa kisiasa wikendi walitii amri ya Rais Uhuru Kenyatta kusitisha mikutano ya hadhara.Tofauti...

Hofu yaongezeka baada ya corona kuzidi maradufu

BENSON MATHEKA na WINNIE A ONYANDO MATUMAINI ya Wakenya kwamba Rais Uhuru Kenyatta atafungua uchumi kikamilifu Ijumaa kwa kuondoa agizo...

Chanjo ya corona isiwe cheti kuamsha ufuska

NA BENSON MATHEKA  Kupatikana kwa chanjo ya corona kumechangamsha watu ambao wamekuwa wakisusia ufuska wakihofia huenda wakaambukizwa...

Wakenya washangaa mbona Uhuru, Ruto na Raila hawajapokea chanjo ya corona

Na MARY WANGARI SERIKALI mnamo Ijumaa, Machi 5, 2021, ilizindua rasmi kampeni ya kusambaza chanjo ya Covid-19 kote nchini huku hisia...