Tag: miraa
- by T L
- April 18th, 2022
Ramadhani inatuumiza, wauza miraa sasa walia
NA KALUME KAZUNGU WAFANYABIASHARA wa miraa, Kaunti ya Lamu wamelalamikia kudidimia kwa biashara hiyo tangu Mwezi Mtukufu wa Ramadhan...
- by T L
- October 20th, 2021
Agizo la Joho kuhusu miraa lapingwa vikali
Na WACHIRA MWANGI SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa, italazimika kutafuta pesa kwingine baada ya Gavana Hassan Joho kuagiza kuwa magari ya...
Ushuru wa miraa, muguka kupanda
Na MAUREEN ONGALA MADIWANI wa Kaunti ya Kilifi wamepitisha hoja ya kuitaka serikali ya gatuzi hilo kuongeze ushuru wa miraa na...
Hofu Ethiopia ikianza kuuza miraa Somalia
Na DAVID MUCHUI WAKUZAJI miraa nchini wameeleza wasiwasi kwamba huenda wakapoteza soko la Somalia kabisa, baada ya Ethiopia kuanza...
- by adminleo
- August 3rd, 2020
Wakuzaji miraa walia Somalia ikizuia ndege yenye tani 11 kutua
Na David Muchui WAKULIMA wa miraa wamelalamika vikali baada ya ndege nyingine iliyobeba tani 11 za zao hilo kukatazwa kutua Somalia kwa...
- by adminleo
- June 29th, 2020
Visa vya akina mama kulipwa miraa mabinti wakilala na wazee vyaripotiwa Lamu
Na KALUME KAZUNGU BAADHI ya akina mama kwenye vijiji vingi vya Waboni, Kaunti ya Lamu wamelaumiwa kwa kushawishika kulipwa miraa na...
- by adminleo
- March 27th, 2020
CORONA: Biashara ya miraa yapigwa marufuku Lamu kuzuia mikusanyiko
Na KALUME KAZUNGU WARAIBU wa miraa Kaunti ya Lamu wanahangika kwa kukosa bidhaa hiyo siku moja baada ya serikali kupiga marufuku...
- by adminleo
- March 18th, 2020
CORONA: Wauzaji miraa wakemea marufuku
Na DAVID MUCHUI WAFANYABIASHARA wa miraa wameelezea wasiwasi wao kuhusiana na kusitishwa kwa biashara ya miraa eneo hilo huku...
- by adminleo
- February 25th, 2020
Hoja ya kuzima uuzaji muguka yaibua maoni mseto
Na KALUME KAZUNGU WATAFUNAJI muguka Kaunti ya Lamu watalazimika kusafiri hadi nje ya eneo hilo ili kutafuta bidhaa hiyo, endapo hoja ya...
- by adminleo
- August 15th, 2019
Wadau kuandaa kikao kutatua migogoro kuhusu ukuzaji miraa
Na DAVID MUCHUI MASHIRIKA mbalimbali ya serikali yamepanga kukutana na washikadau wengine kushughulikia masuala tatanishi yanayolemaza...
- by adminleo
- June 19th, 2019
Jopo lasaka soko la miraa Djibouti na Msumbiji
DAVID MUCHUI na GITONGA MARETE JOPOKAZI lililobuniwa kutekeleza mapendekezo ya ripoti kuhusu jinsi ya kuboresha soko la miraa sasa...
- by adminleo
- March 17th, 2019
Waziri alalamikia ongezeko la baa na ulaji muguka
Na GEORGE MUNENE WAZIRI wa Afya Sicily Kariuki amelalamikia ongezeko la idadi ya baa katika Kaunti ya Embu na kuitaka serikali ya kaunti...