• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

SOKOMOKO WIKI HII: Mbunge wa Mumias Mashariki PK Salasya aona mizungu ya Kizungu bungeni

NA CHARLES WASONGA KWA mara nyingine mbunge mmoja aliboronga Kiingereza bungeni wiki hii na kupelekea wenzake na Wakenya mitandaoni...

SOKOMOKO WIKI HII: Sabina akaangwa na Wakenya kwa kuhoji maombi bungeni

NA CHARLES WASONGA MBUNGE maalum Sabina Chege Alhamisi alijipata pabaya alipoelekezewa cheche za lawama na Wakenya mitandaoni kwa...

SOKOMOKO WIKI HII: Ukachero wa Kabogo ndani ya Kenya Kwanza

NA LEONARD ONYANGO NAIBU wa Rais William Ruto alipomnasa aliyekuwa Gavana wa Kiambu William Kabogo, ilikuwa habari njema kwa wafuasi wa...

SOKOMOKO: Hii tufani ya Mudavadi ipo kweli ama ni majitapo tu?

Na BENSON MATHEKA KATIKA mashindano ya kisiasa hasa uchaguzi mkuu, maamuzi ya mtu na hatua anazochukua kuyafikia yanahitaji mikakati na...

SOKOMOKO: Mtu ni utu

NAANZA kwa la Jalia, jina lenye utukufu, Kofia nawavulia, nawapa heko sufufu, Mioyo naisifia, yenu iso usumbufu, Mtu ni mwenye...

SOKOMOKO: Tenda wema

WAJA ukiwatendeya, wema waishi vicheko, Daima utapokeya, fanaka kila wendako, Kwa kuwa wetu Jaliya, aona mchango wako, Tenda wema...

SOKOMOKO: Heshimu mama wa kambo

Heshimu mama wa kambo ACHA niseme ukweli, tusiwe wa kuhukumu, Alowaumba Jalali, na siyo kuwahukumu, Wakikosa nasaili, wapatie...

SOKOMOKO: Wasichana wala hela

WASICHANA ni wazuri, ukikuwa nazo pesa, Shababi muwe tayari, kwepuka hii mikasa, Mnatupandisha mori, hamuoni ni makosa, Tumechoka...

SOKOMOKO: Kila la heri wenzangu

MKUSANYIKO wa mashairi Jumamosi, Aprili 6, 2019. Kila heri wenzangu Elimu ndiyo maisha, kwetu sisi wanadamu,Elimu huburudisha, akikufunza...

SOKOMOKO: Penzi lianzapo kufa

KWANZA mawasiliano, kasi yake hupunguwa, Hayawi masemezano, ja mwanzo yalivyokuwa, Hata soga na vigano, hukoma pasi kujuwa, Penzi...