Author: T L
- by adminleo
- August 12th, 2020
Huu ni mzaha tu!
Na TAIFA RIPOTA MAAFISA wakuu serikalini wakiongozwa na Rais Uhuru Kenyatta na Waziri wa Afya Mutahi Kagwe, wameendelea kuvunja kanuni...
- by adminleo
- August 12th, 2020
ODONGO: Raila awe Rais kutokana na sera wala si kutuzwa
Na CECIL ODONGO KIONGOZI wa ODM Raila Odinga apasa kuwa Rais 2022 kutokana na jinsi anavyozinadi sera zake na kuwaridhisha Wakenya na...
- by adminleo
- August 12th, 2020
TAHARIRI: IEBC isipomulikwa mapema tutajuta
Na MHARIRI KWA sasa imesalia miaka miwili kabla ya uchaguzi mkuu ujao kuandaliwa. Licha ya kuwepo kwa mambo mengi yanayotuzonga, ipo...
- by adminleo
- August 12th, 2020
Wakazi wa Kingoro waandamana malalamiko yakiwa ni kuongezeka visa vya ubakaji
Na LAWRENCE ONGARO WANAWAKE wa kijiji cha Kingoro eneo la Gatundu Kaskazini walifanya maandamano wakilalamikia ukosefu wa usalama na...
- by adminleo
- August 12th, 2020
Ruto apuuza mpango wa kusukuma Raila Ikulu
WANDERI KAMAU NA DPPS NAIBU Rais William Ruto amepuuzilia mbali viongozi wanaotishia kwamba kikundi cha washawishi wa kitaifa katika...
- by adminleo
- August 12th, 2020
Mjadala wa fedha waingizwa ukabila
Na CHARLES WASONGA MJADALA kuhusu mfumo mpya wa ugavi wa fedha miongoni mwa kaunti 47 Jumanne ulitekwa na ukabila katika...
- by adminleo
- August 12th, 2020
Yafichuka Ikulu ilihusika kusukuma Elachi ajiuzulu cheo Nairobi
Na COLLINS OMULO RAIS Uhuru Kenyatta alihusika katika uamuzi wa Spika wa Bunge la Kaunti ya Nairobi, Bi Beatrice Elachi kujiuzulu, kama...
- by adminleo
- August 12th, 2020
Masharti ya ibada makanisani na misikitini yalegezwa kiasi
Na SARAH NANJALA MAENEO ya ibada yaliyo na nafasi kubwa sasa yataruhusiwa kuwa na waumini zaidi ya 100 kwa kila ibada kulingana na...
- by adminleo
- August 11th, 2020
Wazito wampokeza Fred Ambani mikoba ya ukufunzi
Na CHRIS ADUNGO WAZITO FC wamempokeza Fred Ambani mikoba yao ya ukufunzi na kumteua beki wa zamani wa Harambee Stars, Salim Babu kuwa...
- by adminleo
- August 11th, 2020
Penalti yasaidia Manchester United kutinga robo-fainali Europa League
Na CHRIS ADUNGO MANCHESTER United walihitaji bao la mwisho wa muda wa ziada kupitia penalti ya kiungo Bruno Fernandes ili kuwabandua FC...
- by adminleo
- August 11th, 2020
Familia kupewa mafunzo namna ya kuzika wanaofariki kutokana na Covid-19
Na SAMMY WAWERU WIZARA ya Afya imesema itaanza kutoa mafunzo kwa familia za wanaofariki kutokana na maradhi ya Covid-19 ili wazikwe kwa...
- by adminleo
- August 11th, 2020
Idadi ya simba yapungua – IUCN
Na WINNIE ATIENO HUENDA simba wakatoweka kabisa ikiwa hatua madhubuti hazitachukuliwa, Shirika la Uhifadhi wa Wanyamapori ulimwenguni...