Author: T L
- by adminleo
- October 11th, 2021
LEONARD ONYANGO: Siku ya Utamaduni ilifaa kuadhimishwa kipekee
Na LEONARD ONYANGO HATUA ya serikali kutangaza Oktoba 10 kuwa Siku ya Utamaduni bila kuandaa maadhimisho ya kitaifa, ni kazi...
- by adminleo
- November 22nd, 2020
BI TAIFA OKTOBA 30, 2020
Mercy Kangogo 22, ni mwalimu kutoka eneo la Kabarnet. Anapenda kufundisha na kufanya utafiti katika maswala ya urembo. Picha/Richard Maosi
- by adminleo
- August 13th, 2020
BURUDANI: Mtunzi anayelenga kuwafaa wasanii chipukizi na wanaotia fora
Na ABDULRAHMAN SHERIFF KILA mwanafunzi anayesomea shule ya upili na chuoni, huwa anachagua masomo yatakayomfanya afanikiwe kwa kazi...
- by adminleo
- August 12th, 2020
Uhuru ataka Sonko na Badi wafanye kazi pamoja
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta kwa mara nyingine amewataka Gavana wa Nairobi na Mkurugenzi Mkuu wa Halmashauri ya Huduma za...
- by adminleo
- August 12th, 2020
Mukhisa Kitui atangaza nia ya kugombea urais
Na WACHIRA MWANGI KATIBU Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu Biashara (UNCTAD), Dkt Mukhisa Kituyi amethibitisha nia yake ya...
- by adminleo
- August 12th, 2020
Wanavikapu wa Kenya Morans sasa watia jicho kwa fainali za Kombe la Dunia
Na CHRIS ADUNGO KOCHA Cliff Owuor wa timu ya taifa ya wanavikapu wa Morans, amesema Kenya ina nafasi maridhawa zaidi ya kufuzu kwa...
- by adminleo
- August 12th, 2020
Hili tamko la Rais kuhusu maji likizingatiwa wakazi Nairobi watafurahia
Na SAMMY WAWERU RAIS Uhuru Kenyatta amesema hakuna anayepaswa kuuza maji yanayosambazwa kupitia miradi ya serikali. Kiongozi huyo wa...
- by adminleo
- August 12th, 2020
KINA CHA FIKIRA: Bahati ina sifa ya kuteleza, ikienda hairudi tena!
Na WALLAH BIN WALLAH BAHATI haibagui haichagui! Bahati hutoka kwa Mwenyezi Mungu. Kila mtu ana bahati yake. Lakini hakuna anayejua...
- by adminleo
- August 12th, 2020
Sevilla yaipiga Wolves katika robo-fainali ya Europa League
Na CHRIS ADUNGO MATUMAINI ya Wolves ya kunyanyua ubingwa wa Europa League kwa mara ya kwanza katika historia yalizimwa na Sevilla...
- by adminleo
- August 12th, 2020
GWIJI WA WIKI: Amondi Ochieng
Na CHRIS ADUNGO AMINI kwamba hakuna lisilowezekana. Jitume na ujitahidi kusonga mbele bila kukata tamaa. Fuata msukumo wa ndani ya...
- by adminleo
- August 12th, 2020
Shakhtar Donetsk wapepeta Basel na kujikatia tiketi ya kuvaana na Inter Milan kwenye nusu-fainali ya Europa League
Na CHRIS ADUNGO SHAKHTAR Donetsk kutoka Ukraine waliibandua FC Basel ya Uswisi kwenye robo-fainali ya Europa League msimu huu baada ya...
- by adminleo
- August 12th, 2020
ONYANGO: Vijana wapewe mitaji ya biashara si Kazi Mtaani
Na LEONARD ONYANGO FEDHA zilizotolewa na Benki ya Dunia kuendeleza mradi wa Kazi Mtaani zinafaa kutumiwa kutoa mikopo kwa vijana ili...