• Nairobi
  • Last Updated May 11th, 2024 9:55 AM
Mwalimu aliyejichoma aaga dunia akitibiwa

Mwalimu aliyejichoma aaga dunia akitibiwa

Na BRIAN OJAMAA

MWALIMU wa shule ya msingi ya Magemo Fym, kaunti ya Bungoma aliyejichoma kwa kufutwa kazi baada ya kumtunga mimba mwanafunzi wake aliagia dunia akitibiwa hospitalini.

Bw Wycliffe Andenyi, alifariki kutokana na majeraha ya moto akitibiwa katika hospitali ya Life Care, Webuye.

Bw Andevi alikimbizwa katika hospitali hiyo baada ya kujiwasha moto Alhamisi asubuhi.

  • Tags

You can share this post!

Simanzi wanafunzi 3, dereva wakifariki ajalini

Familia 15,000 kunufaika na mradi wa bwawa

T L