Na BRIAN OJAMAA
MWALIMU wa shule ya msingi ya Magemo Fym, kaunti ya Bungoma aliyejichoma kwa kufutwa kazi baada ya kumtunga mimba mwanafunzi wake aliagia dunia akitibiwa hospitalini.
Bw Wycliffe Andenyi, alifariki kutokana na majeraha ya moto akitibiwa katika hospitali ya Life Care, Webuye.
Bw Andevi alikimbizwa katika hospitali hiyo baada ya kujiwasha moto Alhamisi asubuhi.