Tag: barakoa
- by adminleo
- April 23rd, 2020
Polo aona moto kuchezea maski
NA MARU WANGARI LIMURU MJINI JAMAA mjini hapa alijipata mashakani kwa kufanyia utani masharti ya kujikinga na corona. Yote...
- by adminleo
- April 17th, 2020
Je, ni kweli barakoa za kushonewa mtaani zinazuia maambukizi ya corona?
Na GEOFFREY ANENE HUKU biashara ya kushona na kuuza barakoa zilizotengenezwa kwa kutumia vitambaa ikinoga kote nchini Kenya, mjadala...
- by adminleo
- April 17th, 2020
‘Ninashona barakoa moja kwa dakika 15’
Na GEOFFREY ANENE Barakoa zimeokoa biashara ya fundi cherehani Jacob Onyango ambayo ilikuwa inazama kutokana na uhaba wa wateja kwa...
- by adminleo
- April 17th, 2020
Mkenya anayeishi Dubai asema bila kuvalia barakoa na glavu hakuna kuuziwa chochote
Na GEOFFREY ANENE Wakenya wanapenda kuzuru na kufanya biashara mjini Dubai katika Milki za Kiarabu. Zaidi ya Wakenya 50, 000 wanaishi...
- by adminleo
- April 16th, 2020
Joho awapa polisi maski kusambazia umma
DIANA MUTHEU na MOHAMED AHMED GAVANA wa Mombasa, Bw Hassan Joho ametoa msaada wa barakoa kwa maafisa wa polisi ili wazipeane kwa...
- by adminleo
- April 16th, 2020
Atumia siku yake ya kuzaliwa kusaidia wakongwe
Na KALUME KAZUNGU MWANAMUME mmoja Kaunti ya Lamu amegusa mioyo ya wengi pale alipotumia siku yake ya kuzaliwa kuzuru vijiji mbalimbali...
- by adminleo
- April 14th, 2020
Fundi aonyesha ubunifu wake katika uundaji wa barakoa za watoto
Na JAMES MURIMI FUNDI wa nguo katika mji wa Nanyuki, Kaunti ya Laikipia, ameanza kutengeneza barakoa maalumu za watoto, baada ya...
- by adminleo
- April 14th, 2020
Polisi wanyaka wasiovaa maski
Na WAANDISHI WETU POLISI Jumanne walianza mara moja kukamata watu wanaotembea bila kuvalia barakoa baada ya Inspekta Jenerali, Hillary...
- by adminleo
- April 12th, 2020
Wakenya wavaa sidiria na soksi usoni wasikamatwe na polisi
Na KALUME KAZUNGU HALI ngumu ya kiuchumi na uhaba wa maski katika maeneo kadhaa Kaunti ya Lamu, umelazimisha baadhi ya wakazi mijini na...
- by adminleo
- April 12th, 2020
Corona yazindua Kenya usingizini, yazua ubunifu
Na WAANDISHI WETUÂ LICHA ya kutishia maisha, jamii na uchumi wa nchi, virusi vya corona vimechochea vyuo, watu binafsi na kampuni kuwa...
- by adminleo
- April 11th, 2020
KEBS kuhakikisha mafundi wametengeneza barakoa bora
Na CHARLES WASONGA SHIRIKA la Kukadiria Ubora wa Bidhaa Nchini (KEBS) limetangaza kuwa litawasaidia mafundi kote nchini ili waweze...
- by adminleo
- April 3rd, 2020
Barakoa zisiuzwe zaidi ya Sh20 – Serikali
Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Biashara na Viwanda Betty Maina ametangaza kuwa barokoa ambazo zitatolewa na serikali kwa umma zitauzwa kwa...