• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 3:25 PM

Corona: Idadi ya waliopokea chanjo duniani yafika bilioni

Na AFP IDADI ya watu waliopokezwa chanjo ya corona kote duniani imefikia bilioni moja. Takwimu zinaonyesha kuwa chanjo ya corona...

Ramaphosa aitaka Afrika ijitengenezee chanjo ya corona

Na AFP RAIS wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesisitiza kuwa Afrika inahitaji ujuzi na uwezo wa kuunda chanjo zake binafsi. Alisema...

Chanjo ya AstraZeneca yaua watu saba

Na AFP WATU saba kati ya 30 walioathirika na kuganda kwa damu baada ya kupewa chanjo ya AstraZeneca walifariki, halmashauri ya matibabu...

Askofu ataka serikali ichanje Wakenya wote

Na TITUS OMINDE ASKOFU wa Kanisa Katoliki anayesimamia dayosisi ya Eldoret, Dominic Kimengich, ameitaka serikali kutafuta dozi zaidi za...

Hatimaye serikali yaungama chanjo ya AstraZeneca ina madhara

Na CHARLES WASONGA KENYA imeungana na mataifa mengine ulimwenguni ambayo yameripoti athari za chanjo aina ya AstraZeneca inayolenga...

Mafisadi katika utoaji wa chanjo waonywa

Na SAMMY WAWERU SERIKALI imetoa onyo kali kwa wahudumu wa afya wanaosakata ufisadi katika utoaji wa chanjo ya virusi vya...

Nilikataa chanjo ya masonko nikachanjwa ile ya ‘mahasla’ – Kalonzo

Na SAMMY WAWERU KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka sasa amesema alipokea chanjo ya 'mahasla' na inayotolewa kwa kila Mkenya. Akionekana...

Kampuni za dawa zaonya wananchi dhidi ya chanjo feki ya corona

Na CHARLES WASONGA CHAMA cha kampuni za kuuza dawa nchini (Pharmaceutical Society of Kenya-PSK) kimeonya watu binafsi dhidi ya kuuzia...

Hatimaye Ruto apokea chanjo ya corona

Na SAMMY WAWERU NAIBU wa Rais Dkt William Ruto na mke wake, Mama Rachael Ruto Jumanne walijiunga na orodha ya viongozi wakuu serikalini...

Kampuni za ndege Afrika zakumbatia teknolojia ya paspoti za kidijitali kuokoa biashara

NA RICHARD MAOSI KAMPUNI za ndege za Afrika zimeanza kukumbatia teknolojia ya Umoja wa Afrika (AU) ya kuwapa abiria paspoti za...

Wanachama wa chama tawala cha Zimbabwe wadungwa chanjo ya COVID-19 ya Sinopharm

Na MASHIRIKA MAAFISA wa chama tawala cha Zimbabwe ZANU-PF na wafanyakazi wa makao makuu ya chama hicho leo wamedungwa chanjo ya Covid-19...

KINYUA BIN KING’ORI: Tusipuuze athari za corona hata tukipokea chanjo

NA KINYUA BIN KING'ORI NI mwaka mmoja sasa tangu kisa cha kwanza cha homa hatari ya corona kuthibitishwa humu nchini. Mataifa mengi...