• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 8:57 PM

Hofu wanaofariki baada ya kupata chanjo wakiongezeka

Na AFP IDADI ya watu wanaofariki baada ya kupokea chanjo ya kuepusha virusi vya corona ya AstraZeneca, imezidi kuongezeka. Mhudumu wa...

Kaunti ya Nyeri yalenga kuchanja wanabodaboda 2,000

Na SAMMY WAWERU KAUNTI ya Nyeri inalenga kuwapa wahudumu wapatao 2, 000 wa afya chanjo ya Homa ya virusi vya Corona. Gavana wa Kaunti...

Mhudumu wa afya afariki baada ya kuchanjwa Astra Zeneca

AFP Na SAMMY WAWERU MHUDUMU mmoja wa afya Norway ameripotiwa kufariki kutokana na tatizo la ubongo baada ya kupewa chanjo ya...

Walimu wote wepewe chanjo ya Covid-19 bila ubaguzi

Na WANTO WARUI HUKU sekta ya elimu ikiwa katika mstari wa mbele kufaidika kwa chanjo ya Covid-19, kuna uwezekano kuwa chanjo hiyo...

CHARLES WASONGA: Rais Kenyatta, Mama wa Taifa na Kagwe sasa wachanjwe

Na CHARLES WASONGA IMEKUWA kawaida ya Rais Uhuru Kenyatta kwa kuwa wa kwanza kushiriki shughuli au mipango muhimu ya kitaifa kama njia...

Wanaolengwa na chanjo ya crorona waingiwa na hofu

Na Mwangi Muiruri UTOAJI chanjo ya virusi vya corona katika Kaunti ya Murang’a imekumbwa na shaka na uoga wa wanaolengwa. Licha ya...

Wanajeshi na wahudumu wa afya Nakuru kuchanjwa

RICHARD MAOSI NA ERICK MATARA WAHUDUMU wa afya katika Hospitali ya Rufaa ya Nakuru(PGH), ni miongoni mwa watu wa kwanza kupokea...

Wakenya washangaa mbona Uhuru, Ruto na Raila hawajapokea chanjo ya corona

Na MARY WANGARI SERIKALI mnamo Ijumaa, Machi 5, 2021, ilizindua rasmi kampeni ya kusambaza chanjo ya Covid-19 kote nchini huku hisia...

Dkt Patrick Amoth Mkenya wa kwanza kupata chanjo ya corona

Na SAMMY WAWERU KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Afya Nchini, Dkt Patrick Amoth amekuwa Mkenya wa kwanza kupata chanjo dhidi  ya virusi vya...

Chanjo ya corona hatarini

NA BENSON MATHEKA MATUMAINI ya Wakenya kwamba kuwasili kwa chanjo za corona kutasaidia kukabili virusi hivyo yatabakia ndoto, iwapo...

Kupata chanjo hakumaanishi mlegeze masharti ya Covid-19 – Kagwe

Na SAMMY WAWERU WAZIRI wa Afya Bw Mutahi Kagwe amesema Kenya haijashinda vita dhidi ya janga la Covid-19 licha ya chanjo kuwasili...

Wanahabari wataka waorodheshwe kwa watakaopewa chanjo ya corona

Na CHARLES WASONGA CHAMA cha kutetea masilahi ya Wanahabari Nchini (KUJ) sasa anaitaka serikali kujumuisha wanachama wake miongoni mwa...