Tag: epl
- by T L
- November 19th, 2022
Man-United kutamatisha mkataba wa Ronaldo kisheria ili aondoke Old Trafford bila ndururu!
NA MASHIRIKA MANCHESTER United wamefichua mpango wa kutumia njia mbalimbali za kisheria katika juhudi za kutamatisha mkataba wa nyota...
- by T L
- March 19th, 2022
Arsenal wakomoa Villa na kukalia vizuri katika nafasi ya nne EPL
Na MASHIRIKA KOCHA Mikel Arteta wa Arsenal alikuwa mwingi wa sifa kwa kikosi chake kilichokomoa Aston Villa 1-0 mnamo Jumamosi usiku...
Corona yavuruga mipango ya vikosi siku chache kabla ya kipute cha EPL kuanza
Na MASHIRIKA VINARA wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) wamethibitisha kwamba wanasoka tisa na baadhi ya maafisa wa klabu 20 zinazoshiriki...
Vinara wa EPL wanataka mashabiki 10,000 kuruhusiwa viwanjani kuhudhuria mechi mbili za mwisho wa msimu huu wa 2020-21
Na MASHIRIKA VINARA wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) wana mipango ya kuhakikisha kwamba mashabiki watahudhuria mechi za raundi mbili za...
Man U watamaushwa na sare ya Palace
Na MASHIRIKA MATUMAINI finyu ya Manchester United kushinda ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu yalididimizwa hata zaidi mnamo...
Iheanacho anusuru Leicester dhidi ya Burnley
Na MASHIRIKA FOWADI Kelechi Iheanacho aligeuka tegemeo la Leicester City dhidi ya Burnley katika mechi ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL)...
Ighalo apata hifadhi Saudia
Na MASHIRIKA FOWADI Odion Ighalo amejiunga na kikosi cha Al Shabab nchini Saudi Arabia baada ya kipindi chake cha mkopo kambini mwa...
Adhabu ya kadi nyekundu dhidi ya David Luiz wa Arsenal yadumishwa, ya Bednarek wa Southampton yabatilishwa
Na MASHIRIKA ARSENAL wamepoteza rufaa ya kubatilisha kadi nyekundu ambayo beki wao David Luiz alionyeshwa wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya...
Chelsea wabomoa Spurs
Na MASHIRIKA KOCHA Jose Mourinho alisalia kumlaumu refa Andre Mariner kwa baadhi ya maamuzi yaliyochangia kikosi chake cha Tottenham...
Swara tena EPL
Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza WASIMAMIZI wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) wamejipiga moyo konde na kusisitiza hawana mipango ya...
- by adminleo
- August 4th, 2020
Chelsea yalia Septemba 12 ni mapema mno EPL kuanza
Na CHRIS ADUNGO KOCHA Frank Lampard amewakosoa waratibu wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kwa kudai kwamba Septemba 12, 2020 itakuwa mapema...
- by adminleo
- July 25th, 2020
Kivumbi chatarajiwa EPL ikikamilika
Na CHRIS ADUNGO LIGI Kuu ya Uingereza (EPL) ilirejelewa mnamo Juni 17, 2020 baada ya kusitishwa kwa zaidi ya miezi mitatu kutokana na...